Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 271
- 260
Achana na huyo kunguniWewe unaishi nchi ipi ambayo ipo vizuri? Wananchi wanalia vyakula vipo juu na pesa haionekani, wewe unasema nchi ipo vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo kunguniWewe unaishi nchi ipi ambayo ipo vizuri? Wananchi wanalia vyakula vipo juu na pesa haionekani, wewe unasema nchi ipo vizuri.
Huyu ni mnadharia kama wanadharia wengine waliopo na waliotangulia akiwemo Nyerere. Nadharia zao zimelifikisha taifa hapa tulipo hivi sasa ambapo mkulima kwa miaka mingi amekuwa ndiyo mlisha taifa na yeye anaendelea kuvaa nguo za viraka na mazingira duni. Pindi kilimo chake kikianza kumlipa, hasa mkulima wa mazao ya nafaka na maharage ambao ndiyo wengi. Leo hii ahueni ingekuwa kubwa. Ona wakulima wa viazi mviringo na vitunguu ambavyo haviwekewi masharti wanavyonufaika.Huyu Bwana ni Kati ya Wajamaa na Wazalendo wachache waliobaki katika Taifa letu.
Ili tuendelee tunahitaji wakina bashiru wengi kwenye Uongozi wa nchi na sio Wanufaika wa kuyengeneza matatizo ili wapate Fedha kupitia Matatizo.
Bashiru kaongea ukweli, japo watu wanamchukia ila njaa inashusha utu na heshima ya mtu
Yule waziri Bashe sio Kwamba hajui anajua Sana tu!Baadae mwaka huu huu 2023,
Umetabiriwa ukame na njaa ambayo haikuwahi Kutokea tangu uhuru.
Kukauka Kwa MTO Ruvu na vyanzo vya maji ni Ishara juu ya yajayo juu ya nchi.
Tumepewa muda wa kutumia mvua kidogo kulima na kuhifadhi chakula.
Nabii asema, njaa hiyo na ukame waeza chukua Hadi miaka 3 na nusu.
USHAURI.
1. SERIKALI.
Mfute KAZI ndugu BASHE na atafutwe waziri atakayefanya jitihada ktk KILIMO na kujenga maghala ya kuhifadhi chakula.
Jambo hii lilifanywa na YUSUPH enzi za FARAO ilipotokea njaa ya miaka 7.
2.WANANCHI.
Tumieni pesa zenu kununua chakula na kutunza Kwa kadri muwezavyo Ili kustahimili yajayo.
Pia hakikisheni mnapunguza uwekezaji na matumizi yasiyo ya lazima, kiufupi tufunge mikanda.
3. WAKULIMA.
Tumieni mvua hizi kulima Kwa bidii na kutunza vyakula na msiuze.
4.WANA wa MUNGU.
Tuzidishe MAOMBI ya TOBA na REHEMA juu ya nchi yetu nzuri ya TANZANIA Ili Mungu aiondoe ADHABU juu yetu.
Ee Mwenyezi Mungu, Tunakuomba utusikie.
Aaaamen.
Utashangaa wafanya maamuzi wanasema hawawezi ku intervene kwa kisingizio cha free market, kama ni free market kwanini mbolea ipo subsidized, je hiyo subsidy siyi kodi ya raia ambaye anatakiwa kupewa bei ya chakula inayoendana na kipato chake? Wanelezaje kuhusu externalities ambazo zipo kwenye kilimo chetu ambacho hakiko commercialized? Hiyo siyo induced scarcity kwakua yeye alishindwa kulinda externals kuchukua domestic food bila kuzingatia chakula ni security kwakua raia wenye njaa ni rahisi kuwa blackmailed?Huyu mtu ana asili na uzoefu katika masuala ya taaluma, lkn pia ni mtu aliyekopwa kwa ajili ya sababu za kiutendaji za kisiasa. "Analysis" yake inaaminika na pia yenye mantiki, kwa mazingira na muktadha wa kijamii na kiuchumi tunayoyapitia kama taifa.
Baniani mbaya, ila kiatu chake ni dawa. Huyu ni mtu mwenye uaminifu wa milengo ya siasa za kijamaa, ila ni mtu mwenye msimamo wa kile alichoaminishwa na kukiamini.
😅😅😅Kwa kweli ubunifu hauna kikomo. .
Zile akili za Bashe alizokuwa nazo zimeishia wapi?Kuna binadamu wanajua ardhi ni chakula, hivyo kila wanapoona sehemu wanapanda chochote iwe miti ya matunda na hata mboga au chakula
Croatia kwa mfano wao wanaamini hivyo na wana 1.5m hectares kwa kilimo tu
Sisi ardhi kubwa namna hiyo tunalia njaa
Hakuna kulaumu mtu ni akili tu
Uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia hapo kwenye ukabila.Yule waziri Bashe sio Kwamba hajui anajua Sana tu!
Sema ndugu zake wasomali watakula Nini!!?
Anawaokoa ndugu zake!!
Sasa ukabila unatoka wapi!!?Uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia hapo kwenye ukabila.
Roho mbaya haitakufikisha popote
Bidhaa ili zipungue bei maana yake uzalishaji uwe mkubwa na ununuaji uwe wa haraka... hii inasaidia mzunguko wa pesa kuwa mkubwa hata kama profit margin ni ndogo ila niwaharaka faida inaonekana.Kuna jambo sijawahi kulielewa nchi hii na hili limekuwa linatokea mara kwa mara. Kama tuko kwenye kipindi ambacho watu hawana pesa, bidhaa si zinatakiwa zipungue bei na si kuongezea? Watu wakiwa hawana pesa, inamaanisha wanunuzi wa bidhaa wanapungua, na hilo linafanya wauzaji kupunguza bei.
Nini huwa kinatokea kinafanya hii kanuni ya uchumi isiwe inafanya kazi?
Watakuja na hoja za kufunga mipak ni kuharibu soko [emoji23].Utashangaa wafanya maamuzi wanasema hawawezi ku intervene kwa kisingizio cha free market, kama ni free market kwanini mbolea ipo subsidized, je hiyo subsidy siyi kodi ya raia ambaye anatakiwa kupewa bei ya chakula inayoendana na kipato chake? Wanelezaje kuhusu externalities ambazo zipo kwenye kilimo chetu ambacho hakiko commercialized? Hiyo siyo induced scarcity kwakua yeye alishindwa kulinda externals kuchukua domestic food bila kuzingatia chakula ni security kwakua raia wenye njaa ni rahisi kuwa blackmailed?
Yale majibu ya Mh. Waziri sijui alishauriwa na experts wa nchi gani!
Naomba kujuzwa je taifa letu limeshatangaza habari za njaa au kilichopo ni bei za bidhaa za nafaka kupanda?, wakurungwa kilio kimekuwa kikubwa sasa, liangaliwe kwa macho manne!"Njaa inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi, inatweza utu wa binadamu kwahiyo tatizo la mfumuko wa bei za vyakula ni tatizo ambalo tutake tusitake lazima tuongeze kiwango cha ubunifu kukabiliana nalo, hakuna ukomo wa ubunifu, wananchi wanakibiliana na tatizo hili.
"Nilikuwa nazungumza na wananchi mmoja amesema chakula cha asubuhi na mchana kinaunganishwa kwenye saa 5 na 6, mlo wa usiku unaunganishwa kati ya saa 11 na 12, hawasubiri kujadili mambo ya Ukraine na tabianchi, wameanza kuchukua hatua.
View attachment 2502022
Kwa taarifa zisizo rasmi PM amekalia kuti kavu mbele ya bi mkola yupo tu muda usogee aangalie issue zingine... kuna viwaziri vinanguvu kwa mama kuliko hata PM mara 1000. Vikijikombakomba vinawekwa mgongoni na kupulizwa taratibu... simsemi kwa ubaya bi hindu ila hana courage i mean sio shupavu kwenye kusimamia maamuzi mazito sio kwamba hawezi tu ila hana huo ujasiri ni mtu laini... she is too mother instead of leader... ndio alivyo mpole anaetaka kuwapet pet watoto wake maisha yaende. Anaumia lakini hataki kukuumiza pia na nchi inakuwa ya kipuuzi ukiwa legelege. Atakaejaribu kusimama kukemea anaoneka ame under rate maamuzi ya mkuu wake kwa hiyo inabidi wacheze kwenye bit moja kuweka maisha rahisi kwao. Bi mkola hana maamuzi kwenye mambo ya msingi ila ukimkosoa anahisi unamdharau haraka sana anakuzimisha.. ndio wasiojiamini walivyo.Umeeleza vizuri kwa kiasi fulani je, mapito hayo maovu pm, hayafahamu?, maana ndiyo sababu ya mama kuendelea kuwa na pm yuleyule ili kudumisha utaratibu uleule, na je vp hayupo hawa wote ni strong gears katika kuhakikisha mambo yanakaa sawa kwa kila upande, hatuwezi kumwachia kila kitu rais wetu kuna baadhi kuna kiutaalam na mengine ya kiuzoefu, na sidhani kama ni mama asiyeshaurika, it's could be something hidden!
mbona wananchi wamepata suluhu,au ni wabunifu kuliko serikali yenye nyenzo zote muhimu?Swala hili halina suluhu ya muda mfupi, suluhu ya uhakika ni kutengeneza mifumo ya kilimo cha umwagiliaji ambayo itachukua muda na gharama
Ukabila wa kumuunganisha Bashe na Wasomali kwa vile tu asili ya wazee wake ni huko, na wewe tayari umeshamhukumu kwamba atapindisha sera za nchi ili asaidie wasomali.Sasa ukabila unatoka wapi!!?
Sinkweli kule hawalimi!!?
Roho MBAYA ipi Sasa kwani nimesema wanyimwe chakula!?nimesema waziri anajua kuwa akisitisha kwa tufani ya njaa ijayo nduguze watapata shida kwani shida iko wapi hapo!!?
The beauty of hatred is contagious, even if you are told to bring evidence of the badness of the one you hate, you keep saying I heard...Huyu mchizi anapata wapi moral authority au audacity yakuongea?