Bashiru Ally: Heshima ya nchi yetu imeshuka, tunadhalilika kwa njaa

Bashiru Ally: Heshima ya nchi yetu imeshuka, tunadhalilika kwa njaa

Huyu mtu ana asili na uzoefu katika masuala ya taaluma, lkn pia ni mtu aliyekopwa kwa ajili ya sababu za kiutendaji za kisiasa. "Analysis" yake inaaminika na pia yenye mantiki, kwa mazingira na muktadha wa kijamii na kiuchumi tunayoyapitia kama taifa.

Baniani mbaya, ila kiatu chake ni dawa. Huyu ni mtu mwenye uaminifu wa milengo ya siasa za kijamaa, ila ni mtu mwenye msimamo wa kile alichoaminishwa na kukiamini.
Ujamaa ulipitwa na wakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiangalia hoja ya uwajibikaji, Rais Samia ndio angetakiwa awe ndani au ameshajiuzulu maana yeye alikuwa Makamu wa kusaidia hayo madudu. Badala ya kuwajibika mnampongeza na kumpa phd kuwa yote alifanya yalikuwa vema.
Achaneni na Dr. Bashiru, yeye ni mzalendo haswa.
Huyu huyu Bashiru aliyekuwa anashirikiana na Jiwe
 
Kuna jambo sijawahi kulielewa nchi hii na hili limekuwa linatokea mara kwa mara. Kama tuko kwenye kipindi ambacho watu hawana pesa, bidhaa si zinatakiwa zipungue bei na si kuongezea? Watu wakiwa hawana pesa, inamaanisha wanunuzi wa bidhaa wanapungua, na hilo linafanya wauzaji kupunguza bei.

Nini huwa kinatokea kinafanya hii kanuni ya uchumi isiwe inafanya kazi?
Chakula ni basic bidhaa mkuu!!
 
"Njaa inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi, inatweza utu wa binadamu kwahiyo tatizo la mfumuko wa bei za vyakula ni tatizo ambalo tutake tusitake lazima tuongeze kiwango cha ubunifu kukabiliana nalo, hakuna ukomo wa ubunifu, wananchi wanakibiliana na tatizo hili.

"Nilikuwa nazungumza na wananchi mmoja amesema chakula cha asubuhi na mchana kinaunganishwa kwenye saa 5 na 6, mlo wa usiku unaunganishwa kati ya saa 11 na 12, hawasubiri kujadili mambo ya Ukraine na tabianchi, wameanza kuchukua hatua.
View attachment 2502022
Akili na ubunifu = maarifa, je serikali haipaswi kuwa na maarifa ya kutatua kero kila wakati, maana maarifa hayana ukomo
 
Kwaio ndo lengo watanzania wakanywe maji ya bure kweny mabomba, mtanzania ale muhind wa jero, wali maharage buku jero.Yan maana ni kwamba mtanzania huyu hana haki ya kula balance diet ambayo wataalam wamekuwa wakisisitiza.

Badala ya kumtengenezea mazingira mtanzania aweze kula balance diet ili nguvu kaz iwe ya uhakika, unakuja na muindi wa jero maji ya bomba

MUNGU ATAINUSURU HII NCHI IPO SIKU VIJANA WAJINGA KIASI CHAKO MTAISHA
Kumbe ulitaka wanywe maji ya kununua na pesa hawana?
 
Asante!!

Tumeshajua wakulima wanauza nje sabab ya bei kubwa ni jukumu la serikali kutoa bei elekez itakayomfaidisha mkulima mpka mnunuz.Bei iwe inamshawish mkulima kuuza mazao ndan. Ukisema usifunge mipak faham ata tukizalisha tons of milion wakulima watakimbilia nje kuuza mazao yao mpka demand ya nje ifike neutral ndo wataanza kulifikiria soko la ndani. Kufikia demand ya nje sio kaz rahis itachukua mda huku wananchi wakiteseka kweny nchi yao.

Ifanyike research serikali ifaham demand ya ndan kisha itoe bei yenye maslah kwa wote, ile surplus ndo itoke nje
 
Vip ushirika wa Dr samia aliekuwa makam wa rais?

Inabid ifike hatua kizur kifanyiwe kaz na kibaya kipingwe kwa nguvu zote bila kujal msemaji ni nan.

Yan tukatae ushaur mzuri kisa umetoka kwa mtu mbaya does it click into your mind [emoji2369].

Haijalishi ni mnafki, muovu and many stuff ila alichosema lazima kifanyiwe kaz LAZIMA SERIKAL IFAHAM NJAA SIO KITU KIZUR.Lazima uboreshwaji kweny kilimo uendelee bila kusahau demand ya watanzania kwanza.

Ni hivi, ushauri wa mtu mshenzi hauna nafasi hata uwe mzuri vipi. Alipokuwa kwenye madaraka alifanyia watu wasiomsujudia boss wake ushenzi. Isitoshe hakuna mtu anataka awasemee. Kama unataka akusemee, akusemee ww kumpango wako.
 
Hazina uhalisia ni uzushi.Sokoni msosi buku jero unapunguzaje mlo Sasa? Ndizi ya kuchoma 300,ya kuiva 100-200
[emoji2357][emoji2357][emoji2357] hiv unajua mtaan kuna watu wanaishi chini ya dola moja. Nchi inatakiwa itengenezwe kumsaidia yule wa chini mpka wa juu.

Hizo hesabu unapiga sabab hio pesa unayo, faham ata kilo ikifika 10k bado kuna watu watanunua na watakuja hapa kushangaa mtu anashindwa nin kula wali wa 3500 matunda ya 1000
 
Ni hivi, ushauri wa mtu mshenzi hauna nafasi hata uwe mzuri vipi. Alipokuwa kwenye madaraka alifanyia watu wasiomsujudia boss wake ushenzi. Isitoshe hakuna mtu anataka awasemee. Kama unataka akusemee, akusemee ww kumpango wako.

Ni wajibu wake kuwasemea wananchi ndo sabab ya kuwa pale. Ni wapi alifany watu wamsujudie maguful?

Kukataa ushaur mzuri wa mtu kisa ni muovu,nu dalili ya uwepo wa wale maadui watatu alosema Hayat Nyerere "UJINGA,UMASKIN, MARADHI"
 
Walipoambiwa mkulima size kwa Bei anayoitaka mlitegemea Bei ishuke?. Yeye alibuni nini?
 
Tukiangalia hoja ya uwajibikaji, Rais Samia ndio angetakiwa awe ndani au ameshajiuzulu maana yeye alikuwa Makamu wa kusaidia hayo madudu. Badala ya kuwajibika mnampongeza na kumpa phd kuwa yote alifanya yalikuwa vema.
Achaneni na Dr. Bashiru, yeye ni mzalendo haswa.
Bora hata ya Samia watu wanalala usingizi kwa amani, ogopa sana mtu aliyevuruga na kuiba uchaguzi nchi nzima, na alinunua wapinzani kwa pesa za walipa kodi, na kwa majivuno na kiburi aliwahi kusema bila kuogopa chama kikiwa na dola hakiwezi kushindwa uchaguzi, sielewi watu wanaomwona wa maana huyu mwehu, alichofanya na wenzake uchaguzi uliopita angeweza kabisa kusababisha mauaji ya maelfu ya watu, njaa tuu na kupigwa nje vinamsumbua
 
Huyu Bwana Bashiru hana adui yaani mtu apoteze mda kumuwkea bifu mjinga kama bashiru
Huyu kipindi ananeemeka nakiti cha enzi hakuona magu alivyokua akiwaambia wananchi waliokua wakisumbuliwa naukame njaa naumasikini hatawapa msaada wachakula wala chochote serikali haina shamba ila leo anajivika ngozi yakondoo mbwa huyu amuache Mama afanye kadri ya uwezo wa Jamhuri na sikipindikile walipo poka madaraka yakijamhuri nakua ya mtu mmjo

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Wabongo wengi ni watu wanaodanganyika kirahisi sana mkuu

Yani sasa hivi wengine washamuona Bashiru bonge la mkombozi.

Wamesahau ujinga wote aliofanya na Magufuli, au pengine hawajasahau, wanaona ni sawa.
 
Vip ushirika wa Dr samia aliekuwa makam wa rais?

Inabid ifike hatua kizur kifanyiwe kaz na kibaya kipingwe kwa nguvu zote bila kujal msemaji ni nan.

Yan tukatae ushaur mzuri kisa umetoka kwa mtu mbaya does it click into your mind [emoji2369].

Haijalishi ni mnafki, muovu and many stuff ila alichosema lazima kifanyiwe kaz LAZIMA SERIKAL IFAHAM NJAA SIO KITU KIZUR.Lazima uboreshwaji kweny kilimo uendelee bila kusahau demand ya watanzania kwanza.
Aliyesababisha njaa kwa uongozi mbovu akitemwa na kuja kukuambia habari za njaa unaweza kukubali kwamba kuna njaa, ukamwambia wewe ndiye uliyeisababisha kwa uongozi wako mbovu hivyo wewe si sehemu ya ufumbuzi wa tatizo, wewe ni sehemu ya sababu za tatizo.

Bashiru na rafiki yake Magufuli walijikita kununua wapinzani badala ya kushughulikia strategic food security plan.

Leo anapiga kelele kuhusu tatizo alilolisababisha yeye mwenyewe kwa sababu leo hayupo ndani ya executive, ni backbencher tu.

Hogwash.
 
Suluhisho la haya yote ni kuanzisha kilimo cha umwagiliaji,
Tuna vyanzo vingi vya maji.
Tuna mito na maziwa lukuki,kwa nini tupate njaa?
 
Aliyesababisha njaa kwa uongozi mbovu akitemwa na kuja kukuambia habari za njaa unaweza kukubali kwamba kuna njaa, ukamwambia wewe ndiye uliyeisababisha kwa uongozi wako mbovu hivyo wewe si sehemu ya ufumbuzi wa tatizo, wewe ni sehemu ya sababu za tatizo.

Bashiru na rafiki yake Magufuli walijikita kununua wapinzani badala ya kushughulikia strategic food security plan.

Leo anapiga kelele kuhusu tatizo alilolisababisha yeye mwenyewe kwa sababu leo hayupo ndani ya executive, ni backbencher tu.

Hogwash.
Unavyoshadadia swala la kununuliwa watu bila shaka ww ni mtupu kichwani .unaamini binadamu mwenye akili timamu anaweza kununuliwa ?
 
Aliyesababisha njaa kwa uongozi mbovu akitemwa na kuja kukuambia habari za njaa unaweza kukubali kwamba kuna njaa, ukamwambia wewe ndiye uliyeisababisha kwa uongozi wako mbovu hivyo wewe si sehemu ya ufumbuzi wa tatizo, wewe ni sehemu ya sababu za tatizo.

Bashiru na rafiki yake Magufuli walijikita kununua wapinzani badala ya kushughulikia strategic food security plan.

Leo anapiga kelele kuhusu tatizo alilolisababisha yeye mwenyewe kwa sababu leo hayupo ndani ya executive, ni backbencher tu.

Hogwash.
Ungeongelea jinsi Bashir na magufuli walivosababisha njaa ingefana sana. Naomba unambie nin Bashir na magufuli walifany mpka kikasababisha hili janga?
 
Back
Top Bottom