Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halirudisha mali zote za chama zilizokuwa zimetekwa na mafisadi Channel 10 ,Magic,mashule,na viwanja vingi tu,alikuta CCM ikiwa ombaomba kwa mafisa mpaka anaondoka CCM account zake zote zilikuwa zimejaa mifedha, ndio Maana kundi kubwa linalomchukia Bashiru sio kwamba kuna kitu aliwakosea la hasha bali aliwanyanganya matonge yao.Kama cheo tu alikua nacho,,, jipyà gani alofanya?
Lakini Happy sio Chawa, anapiga kazi sana saivi.
Duh! Venom ya koboko ? !!Rais Ni zadi ya sauti ya mamlaka!.. kwa MTU anaependa democracy This guy is more than a venom!..Kama issue Ni sauti akafungua kabisa atumie vizri sauti yake ya mamlaka kukemea mapepo
Duuh!Bashiru, the next and chosen president of the republic of Tanzania.
Anaigiza kuongea kama Nyerere au ndivyo huwa anaongea?Acha utoto.Ujue unawasiliana na watu wazima hapa?Habari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM 😃😃😃 hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana 😀😀inabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja 😋😋
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika mic😀😀.
kama Tanzania ni Rwanda sawaBashiru, the next and chosen president of the republic of Tanzania.
Haaah . Wacha wivu.. hahaRais Ni zadi ya sauti ya mamlaka!.. kwa MTU anaependa democracy This guy is more than a venom!..Kama issue Ni sauti akafungua kabisa atumie vizri sauti yake ya mamlaka kukemea mapepo
Wivu naona kwa mama chanja tu,,,wewe kwenye hizo sentensi umeuona wapi wivu!..Haaah . Wacha wivu.. haha
Bashiru sio kama Nyerere, hawezi kufikia...Habari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM 😃😃😃 hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana 😀😀inabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja 😋😋
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika mic😀😀.
Ila kwa kweli nikikumbuka biashara ya ununuzi wa ya wapinzani waliopewa jina la kuunga juhudi nasikia kichefu chefu sana.Rais Ni zadi ya sauti ya mamlaka!.. kwa MTU anaependa democracy This guy is more than a venom!..Kama issue Ni sauti akafungua kanisa atumie vizri sauti yake ya mamlaka kukemea mapepo
Acha ujinga. Nyerere hajawahi kuua Kama Bashiru.nyere hajawahi kuwa mnafuki kwa kuongea hili kesho lile ili kutafuta ugaliHabari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM 😃😃😃 hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana 😀😀inabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja 😋😋
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika mic😀😀.
Demokrasia nayo inaweza kuwa debatable.Rais Ni zadi ya sauti ya mamlaka!.. kwa MTU anaependa democracy This guy is more than a venom!..Kama issue Ni sauti akafungua kanisa atumie vizri sauti yake ya mamlaka kukemea mapepo
Sasa Nyerere si akikua sawa tuu na debe tupu haliachi kutika..Habari wakuu,
Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere.
Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM 😃😃😃 hawa chawa wangetulia kimya.
Chawa bwana 😀😀inabidi kungefanyika majibizano ya hoja kati ya chawa na Bashiru. Wawekwe kwenye chumba kimoja 😋😋
Nasubiri huu mtifuano chawa wakiona Bashiru kashika mic😀😀.
Huyu mtu ni mtu na nusu na ndio maana kila kona unasikia makerere ya chawaHalirudisha mali zote za chama zilizokuwa zimetekwa na mafisadi Channel 10 ,Magic,mashule,na viwanja vingi tu,alikuta CCM ikiwa ombaomba kwa mafisa mpaka anaondoka CCM account zake zote zilikuwa zimejaa mifedha, ndio Maana kundi kubwa linalomchukia Bashiru sio kwamba kuna kitu aliwakosea la hasha bali aliwanyanganya matonge yao.