Mafisi yamerudi buchaniItakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Duuh kwa mikono ipi ya kubarikiwa?Mungu ibariki Tanzania
ila jamaa toka mwendazake aondoke yupo kimya sana hajawahi kuongea anajua msala wake
Hila watanzania tu wanafiki sana, hasa kwa kushangilia matatizo ya wengine wanaoanguka, utadhani nyie mpo hewani hamgusi aridhi.View attachment 2170755
Bila picha uzi utanogaje sasa
Bashiru kwa sasa hana tena matumaini ya kubakia ndani ya chama
Ukiamuacha Mzee Kinana na Mzee Makamba Snr ambao ni wakubwa kiumri kwa Dk. Bashiru, huwezi jua ya kesho!Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Labda atupwe jela na mamaako.Anatakiwa akamatwe na kutupwa jela kwa kusimamia siasa za kihayawani kipindi cha Magu.
..labda Dr.Bashiru amerudi ktk chama chake cha zamani CUF.
Kwa Tanzania inaenda kasi kwa kurudi nyuma.Dunia inaenda kasi sana
Dhana potofu kabisa..mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
Lakini kumbukeni. Ngoma bado haijatulia. Hata hawa unaowataja hapa kesho wanaweza kuwa kwenye hali ngum,u kuliko huyo Bashiru. Hakuna mwenye mkataba na Mungu. Ndiyo maana tunasema katiba mpya ni kipaumbele muhimu kuliko kitu chochote ili yaliyotokea yasijirudie tena.
Sukuma Gang is there to stay yesterday, today and tomorrow. If you think Sukuma Gang is gone, why everyone is scared of it?
Aliwashugulikia kivipi wakati Bashiru ndiye aliwapitisha kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM?Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Your parents!Who is scared of you hooligans?
Hila watanzania tu wanafiki sana, hasa kwa kushangilia matatizo ya wengine wanaoanguka, utadhani nyie mpo hewani hamgusi aridhi.
watapukutika wote, aliyeua kwa upanga utakufa kwa upanga🙁Dhana potofu kabisa..
1.unataka kutuambia ulinzi wa Rais ni dhaifu
2.unataka kutuambia hakustahili kufa
Sasa weye na wengine wa sampuli yako kubalini Mwenyezimungu ni FUNDI KWELI KWELI.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Dunia inaenda kasi sana, lakini sishuki!!Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.