Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Raia ni wafukunyuku
Sema na kauli huwa zinabadilika
Ukimuuliza vipi tena kiongozi atakwambia
Binadamu hupanga na Mungu nae anapanga
 
hiyo kauli ipo kwenye dakika ya ngapi kwenye hiyo video
maana ina nusu saa
 
Bangi tu hizi za ushamba wa cheo/mdaraka ambayo hkutegemea. Ulimbukeni wa cheo, unafiki uliopitiliza
 
Tangu leo Mmawia nimekuogopa. watu mnajua kutunza kumbukumbu! Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…