Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua makamu wa RAIS wakati RAIS wake anafariki...civics walikua wanafundisha hiyo.Japo simtetei Bashungwa ila najibu hoja yako kwani Maushungi alifanya nini cha kipekee ?
Mtoa mada, huyo kijana anafaa ila tutaenda na Gwajima, Tuvushe Baba Askofu, huyo kijana asubiri kwanza mpaka 2040
tz bangi ihalalishwe sasa sio siri tenaNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Ramli choganishiNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Kwani waliowahi kuwa marais waliwahi kufanya nini cha kipekee?Amefanya Nini cha kipekee kwa nafasi alizokwosha tumikia hadi afikiriwe kuwa anaweza kuwa Rais, all in all wananchi titamuua mda ukifika
Swali sio alikua nani ? Bali alifanya nini ? Mkuu kwa ukurupukaji huo wa kujibu maswali hiynd civics haukupata mswaki kweli ?Alikua makamu wa RAIS wakati RAIS wake anafariki...civics walikua wanafundisha hiyo.
Nchi hii si ya majaribioAnafaa
Kama alikuwa na maono hayo basi ashajinasi kwa kwenda kwa yule bwana.Kwenda chato sio hoja hoja ni maono
Gomeni kuanzia kesho tuone
Tatizo kajinajisi kwenda kule kwa yule ibilisiNamkubali sana, very cool guy, humble, down to earth.
Kile kivuko kibovu nani alikinunua? Au huna taarifa?Ramli choganishi
Huu ni wakati wa kila waziri achape kazi
Magufuli hajawahi kujipanga kuwa Raisi wala kutqbiriwa uchapq kazi na usafi ndio ulimbeba
2015 aliwabwaga wachafu chafu mifisadi mijizi iliyokuwa na vyeo na network kubwa sababu haikuwa Michael kazi na mijizi
Mtaka uraisi yeyote ahangaike kujenfa Cv ya usafi na uchapa kazi unaokubalika na wananchi walio wengi sio wachache wenye nafasi za pesa au network yaani mtandao tu mbeleni patachimbika
Aweza ibuka mtu kama MAGUFULI ambaye wala hakujipanga kuwa Raisi akiwa mtandao hana na connection ndani ya chama na serikali hana wala mtandao inner circle hana kuliko wapinzani wake hana kipindi cha 2015 na akawa Raisi akawabwaga huko na pesa zao na mitandao yao na connections zao na exposure zao tupa kule akaibuka Raisi
Sasa mbona wajinga walimweka Sukuma gang mpaka Mungu akamuua?Nchi hii si ya majaribio
Itakuwa aibu sana kwa TaifaNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.