cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa, kwan msamvu hakuna hotel pale, huwa ni kuchimba dawa tyuuh.lunch walikula hapohapo msamvu ila mimi ndo nilishukia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa, kwan msamvu hakuna hotel pale, huwa ni kuchimba dawa tyuuh.lunch walikula hapohapo msamvu ila mimi ndo nilishukia hapo
ni mwaka jana coca, umefika msamvu mwaka jana??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa, kwan msamvu hakuna hotel pale, huwa ni kuchimba dawa tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee labda unachangamsha kijiwe, haiwezekan Mbeya utoke saa 12 afu moro ufike 7, na Dar iliingia saa 11?
Nachekaa had machozii, gari za Mbeya Msamvu zinaingia kuanzia saa 10, gari za tunduma, sumbawanga, Songea zinaingia msamvu kuanzia 12 had 1.
Lunch mlikulaa wapii?? Ili nione km unacho sema ni kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mimi nimewahi[emoji23] tulianza safari saa 12, kwenye saa sita kasoro niko moro, ila sio stendi
unaniita mtoto unajua umri wangu😂Toto liongo wewe?!! Mlipanda ungo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimepita October mwishoni, na New force, Dar - Songea.ni mwaka jana coca, umefika msamvu mwaka jana??
Kwetu ni songea, na New force ni bus zangu pendwaa.Uduguu kweli we mzohefu wa njia ya nyanda za juu kusin, umeongea kweli
wote tulikua wanafunzi, gari lilikuja pale chuo MUST... saa 12 kasoro limewashwa tukasepaNimepita October mwishoni, na New force, Dar - Songea.
Ndo maana nakukatalia, hakuna hicho kitu.
Pale huwa ni kuchimba Dawa, vituo vya kula kwa route ya nyanda za juu kusini, mafinga na alijazeera kitonga.
lunch walikula hapohapo msamvu ila mimi ndo nilishukia hapo
hamna hotel pale kuna visehemu sehemu tuMsamvu hotel gani bus zinasimama kula?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wote tulikua wanafunzi, gari lilikuja pale chuo MUST... saa 12 kasoro limewashwa tukasepa
vituo sivijui mi mgeni wa hayo maeneo ningekua najua tungebishana hapa[emoji23]
hamna hotel pale kuna visehemu sehemu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna wa kumdanganyaa hapaa, hiyo njiaa naijua vilivyo haswaaa.wote tulikua wanafunzi, gari lilikuja pale chuo MUST... saa 12 kasoro limewashwa tukasepa
vituo sivijui mi mgeni wa hayo maeneo ningekua najua tungebishana hapa[emoji23]
Sehemu gan palee? Akati ni walee machinga wanaokuja madirishslani kuuza bidhaa zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamna hotel pale kuna visehemu sehemu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Gari itoke stand mpya mbeya saa 12, saa 7 iwe msamvu inapaa? Hata mwendo uwe vipi sio kwa hivyoo aseeeh.Bus za kutoka Tunduma, Mbeya na Songea pale zinapita tu stendi hazikai. Wewe mwenzetu labda unapanda coaster zile hakuna kulala za Uyole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
visehemu wanauza viepe😂Sehemu gan palee? Akati ni walee machinga wanaokuja madirishslani kuuza bidhaa zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye hayo mabasi anaitwa Sauli Solomoni Mwalabila ni mfanyabiashara wa madini ya dhahabu wilayani ChunyaKisa linakwenda Mbeya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Gari itoke stand mpya mbeya saa 12, saa 7 iwe msamvu inapaa? Hata mwendo uwe vipi sio kwa hivyoo aseeeh.
ndio maana yanapata ajali yako speedLabda kapanda ungo [emoji23][emoji23][emoji23]