Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyopenda misafara, wanaachaje yaani???? Mzigo utaingia lakini labda kuanzia mwakani.View attachment 1891423View attachment 1891424View attachment 1891425View attachment 1891427
Mkuu vipi serikali hawana mpango wa kuleta hivi vitu vipy LC300?
Huyu Madelu atakua kapata pesa wapi.Mweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
Wala hawakimbii sana, bali wanakimbiza magari na kuendesha hovyo.Hao jamaa wanakimbia sana sana
Hawa madereva wa mabasi wanaendesha vibaya sana barabarani. Ni vile tu hawafuatiliwi. Overtaking zao ni blind na za kijeuri- wanasababishia sana watu ajari.Jamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran
Ni kweli hawakimbii Sana ila ukiangalia SAA NNE anapata ajali tayari yuko Kagongwa! Niliwahi kupanda ile ya Kahama-Dar anaendesha Dogo mmoja kibonge hivi alikua anatembea 136km/hrWala hawakimbii sana, bali wanakimbiza magari hovyo.
Hii Speed alitembea nayo kuanzia Kahama mjini hadi Kagongwa 136km/hrHawa madereva wa mabasi wanaendesha vibaya sana barabarani. Ni vile tu hawafuatiliwi. Overtaking zao ni blind na za kijeuri- wanasababishia sana watu ajari.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Halafu isipate ajaliBinafsi huwa napenda chuma itembeee...
Sometimes ajali inatokana na maamuzi ya dereva.Halafu isipate ajali
Hahahaha yes unamkwepa tu! Kumgonga MTU kwa makusudi ni ngumu mnoSometimes ajali inatokana na maamuzi ya dereva.
Kuna Frester nyingine ilipiga mzinga hapo hapo kahama ikiwa inatoka stand, eti alimkwepa mtu wa boda...
Atakuwa alikuwa anakwepa ngwana mbiti; mida hiyo wanakuwa ndo wanaenda kazini 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗Kagongwa mbona hakuna sehemu korofi?? Au alikuwa anamkwepa boda??
Hoja nyepesi kk,,,110 ...???Ila wabongo kwa kukuza mambo bhana.... Kabla ya mwaka 2015 gari zilikua zinafika Kahama saa 11 jioni halafu leo unasema ati basi limekimbia speed sana.
Watu mnashindwa kutofautisha kuokoa muda na kukimbia sana. Maximum speed ya mabasi yanayoenda mbali ni speed 110 na hayazidi hapo, labda kuwe na shida ya king'amuzi.
Niishie hapo
Hoja nyepesi kk,,,110 ...???Ila wabongo kwa kukuza mambo bhana.... Kabla ya mwaka 2015 gari zilikua zinafika Kahama saa 11 jioni halafu leo unasema ati basi limekimbia speed sana.
Watu mnashindwa kutofautisha kuokoa muda na kukimbia sana. Maximum speed ya mabasi yanayoenda mbali ni speed 110 na hayazidi hapo, labda kuwe na shida ya king'amuzi.
Niishie hapo