dump
JF-Expert Member
- Mar 23, 2020
- 642
- 958
Labda aligongwaDereva aulizwe imekuwaje kuwaje,Kagongwa pale mbona pako vizuri tu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda aligongwaDereva aulizwe imekuwaje kuwaje,Kagongwa pale mbona pako vizuri tu sana
Kiburi chake ndo acheze na maisha ya watu??? Yule dereva ashukuru alikumbia maana angegeuzwa bucha na raia siku ile..Tajiri mchaga ndio anawapa kiburi hao madreva wake,inaonekana anatembeza mlungula kwa mapoti
Tena wakitaka ku ovateki wakion gari inayokuja ni ndogo basi hapo asubiri anachomoka anakuekea tu inabd wewe mwenye gari ndogo ujibanze kushoto ukipaniki unachochora kwny makorongo hukoHawa madereva wa mabasi wanaendesha vibaya sana barabarani. Ni vile tu hawafuatiliwi. Overtaking zao ni blind na za kijeuri- wanasababishia sana watu ajari.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
dereva kachanjwaUnaweza kusikia mtu anasema imesababishwa na CORONA.
Pole kwa wasafiri.
App gani hii boss
Speedometer Mpwa, iko vizuri sanaApp gani hii boss
Huyu Madelu atakua kapata pesa wapi.
Mabasi ya ESTHER NI YAKE kumbe na Frester. Halafu ana petrol station ukiachilia mbali makampuni Kama EXTRA BET.
SISI ANATUTOZA TOZO
Ya mgonga Punda yanaitwa Esther, au na haya ni yake?Mweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
Wewe umecomment hapa kwa mamlaka yapi?Sasa ulileta hapa ili iweje?
Mamlaka gani imekuruhusu ulete hapa?
Frester = Fred na EstherMweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
Esther si mwiguluYule yakwake yanaitwa Esther na sio Frester
Hujui sheria za huko road weweHahahaha yes unamkwepa tu! Kumgonga MTU kwa makusudi ni ngumu mno
Sasa ya naniFrester ni ya mchaga,wala hiyo ester siyo ya kwake mwigulu hana pesa yeyote
Narudia tena kama wewe ni dereva nasema hivi, kumgonga MTU kwa kudhamiria ni ngumu sana. Hip option ya kuokoa watu 60 huwa haipo! Labda kama unataka tu kubishana.Hujui sheria za huko road wewe
Unamkwepa mtu mmoja unaenda kuua abiria 60 huko barabarani hili halipo gonga huyo mmoja okoa hao 60
Kabla ya kuwekwa ving'amuzi mbona mabasi yalikuwa yanafika saa 12 jioni Kahama!!!Jamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran
Du mkuu JF, balaaa sirikaliii ipo karibu, hakuna worning ya alarm mwendo huo?
Hahahahaha Mkuu ile ilikua biashara tu kipindi kile na niliwahi kuandika hapa JF kuhusu hizo speed. Mabasi mapya kama sio yote basi yaliyo mengi hayana tena huu mfumo.Du mkuu JF, balaaa sirikaliii ipo karibu, hakuna worning ya alarm mwendo huo?