Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ooh yeah, ni comprehensive, lakini roho za watu ndio zina thamani kuliko Hilo bus.Hope ana bimakubwa mpwaa siokwashow ile yaanisijuialilalaadreva??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh yeah, ni comprehensive, lakini roho za watu ndio zina thamani kuliko Hilo bus.Hope ana bimakubwa mpwaa siokwashow ile yaanisijuialilalaadreva??
Ajali inaweza kutokea hata km moja kutoka nyumbani kwako, hata hivyo Mkombe amepata ajali mara 2 tu hivyo watu wataendelea kusafiri bila tatizo.Unasafiri siku 5 sijui njiani hata kama humo ndani kuwe na madereva 5 yani hamna assurance ya usalama kabisaa.. kama hujajipanga kwenda south upande pipa tuliza tako bongo ila sio huu umaskini
Kabisaakakaa sopainful inaumaasanaaOoh yeah, ni comprehensive, lakini roho za watu ndio zina thamani kuliko Hilo bus.
AiseeehUnasafiri siku 5 sijui njiani hata kama humo ndani kuwe na madereva 5 yani hamna assurance ya usalama kabisaa.. kama hujajipanga kwenda south upande pipa tuliza tako bongo ila sio huu umaskini
Usimtishe.Huyu naye anataka kuvuliwa nguo abako uchi wa mnyama.
Eti jombaa, unataka uvuliwe?
Basi lilikuwa linatoka Johannesburg kuja Bongo.Unasafiri siku 5 sijui njiani hata kama humo ndani kuwe na madereva 5 yani hamna assurance ya usalama kabisaa.. kama hujajipanga kwenda south upande pipa tuliza tako bongo ila sio huu umaskini
Naunga mkono hojaUnasafiri siku 5 sijui njiani hata kama humo ndani kuwe na madereva 5 yani hamna assurance ya usalama kabisaa.. kama hujajipanga kwenda south upande pipa tuliza tako bongo ila sio huu umaskini
Wewe dogo ni wa hovyo kuliko uhovyo wengine, unashambulia watu kikuma sana.Huyu naye anataka kuvuliwa nguo abako uchi wa mnyama.
Eti jombaa, unataka uvuliwe?
kwanza kusafiri masaa mengi kwenye gari sio adventure tena ni kuchoshanaaa... au kuona milima inapita kule na swalaa ndo adventure???Basi lilikuwa linatoka Johannesburg kuja Bongo.
Si kweli kila anayepanda bus NI kwamba Hana pesa ya kupanda mwewe, road trip ni full of adventure.
Dar to Johannesburg ni kilometres 5000 tu, ingekuwa issue ni umbali Marekani pasingekuwa na usafiri wa mabasi wa State to State, from West side to East coast hata masaa ndani ya Marekani ni tofauti ndani ya nchi moja.
OK kwenye group za wasafirishaji sijui walitoa wapi hiyo idadi, kwakweli ajali zinatugharimu sana maisha ya wanadamu, na wengine kubakia vilema bila msaada wowote.Mkuu, kwa jana polisi Zambia waliripoti ni watu 12, ikiwa ni watu 6 kutoka kwenye lori na watu 6 kutoka kwenye basi
Wengi hawajui ukweli NI Kwa nini watu hasa wakitoka South Africa wanapanda mabasi.kwanza kusafiri masaa mengi kwenye gari sio adventure tena ni kuchoshanaaa... au kuona milima inapita kule na swalaa ndo adventure???
Mpaka sasa dereva wa Pili Kilua ndio confirmed dead.OK kwenye group za wasafirishaji sijui walitoa wapi hiyo idadi, kwakweli ajali zinatugharimu sana maisha ya wanadamu, na wengine kubakia vilema bila msaada wowote.
duu hii mbona balaa sasa overstay si walitakiwa waseme south africa???Wengi hawajui ukweli NI Kwa nini watu hasa wakitoka South Africa wanapanda mabasi.
Viongozi wa serikali mjitafakari Sana, watu wanatumia paper kuishi South Africa kihalali kabisa, wakitaka kurudi nyumbani wanakwenda Pretoria kuchukuwa Emergency travel documents za kusafiria na tunazilipia pesa Kwa control number, unapanda ndege fresh Oliver Tambo kabiru anakugongea exit ukituwa tu Dar airport wanakumaliza utasema NI mkimbizi, utasoteshwa airport masaa na immigration na lazima upukutishwe pesa ndio unaruhusiwa kuingia kwenye nchi yako, NI Kwa nini Watanzania tunatesana wenyewe kiasi hiki?
Issue ya over stay inawahusu foreign country lakini siyo kwenye nchi yako, wajibu wa immigration ni kugonga entry Tu na hakuna maswali zaidi.
Nimeshatowa pesa mara nyingi hapo airport napigiwa simu mtu kamalizwa ukiuliza sababu eti over stay, this motherfuckers wanajuwa maana ya overstay? unatoka nchi za watu unagongewa exit, unaingia kwenye nchi yako wanakwambia overstay, siipendi kabisa CCM Kwa sababu inawafanyia dhulma Sana Watanzania.
Akili tope hiiMbona hii habari hatujasikia popote? Wala hakuna mamlaka yeyote iliyotoa taarifa?
Na South Africa ukiwa over stay kweli wanakugonea muhuri kabisa miaka mitano uruhusiwi kuingia, tena sasa hivi ni wakali na wako serious kwenye Hiloduu hii mbona balaa sasa overstay si walitakiwa waseme south africa???
Utakuta umri wake ni kama 3.......Lakini ripoti ya polisi Zsmbia inadai dereva Mtanzania aliyekuwa anaendesha lori ndiye aliovateki vibaya akashindwa kumaliza ndipo akaligonga basi
Wenye jukumu la kutoa taarifa za vifo wapo sio mimi mkuu...Tangu jana umekazana kusema "ajali mbaya sana, idadi ya vifo imeongezeka..." Lakin husemi hiyo idadi ni kiasi gani.
Dereva wa lorry ndio chanzo cha ajali aliovateki kijingaSerenje imenyooka kabisa ile Road imekuaje tena
Ok,pole kwa majeruhi wote na pole kwa wafiwaDereva wa lorry ndio chanzo cha ajali aliovateki kijinga
WAPUMZIKE KWA AMANI majeruhi Mungu awafanyie wepesi wakupona kwa harakaWana familia kama mna ndugu walikua wanasafiri kutoka South Africa na Bus la Mkombe Luxury please jaribuni kuwatafuta mana bus limepata ajali mbaya sana ya kugongana na Lori uso Kwa uso jana Serenje Zambia.
Inasemekana idadi ya vifo imeongezeka.
View attachment 2854330View attachment 2854331