Basi la Mkombe Luxury Coach South Africa-Dar lapata ajali mbaya

Basi la Mkombe Luxury Coach South Africa-Dar lapata ajali mbaya

Kuna shida upande wa Mkombe, Leo tutapata list ya waliosafiri kutoka Chilundu border upande wa Zambia, hawa Jamaa hawatowi ushirikiano wa kutosha.
Sijui kwanini Man first ya hilo basi inawekwa siri navyo fahamu Basi likivuka mpaka ofisi zote husika hapo mpakani lazima ibakie na copy ya rekodi ya wasafiri.
 
Sijui kwanini Man first ya hilo basi inawekwa siri navyo fahamu Basi likivuka mpaka ofisi zote husika hapo mpakani lazima ibakie na copy ya rekodi ya wasafiri.
Kuna connection nzuri Tu Chilundu border, baadaye tutaipata list yote kutoka Immigration ya Zambia, waache wao waendelee kukaa kimya.

Na hawa mabalozi ndio takataka kabisa.

CCM wapo tayari kutowa ndege kuwapa Simba na Yanga kuliko kutumia helicopter za kijeshi kuwaisha majeruhi waje kutibiwa Tanzania kuokowa maisha Yao.

Hii nchi imelaaniwa.
 
Kuna connection nzuri Tu Chilundu border, baadaye tutaipata list yote kutoka Immigration ya Zambia, waache wao waendelee kukaa kimya.

Na hawa mabalozi ndio takataka kabisa.

CCM wapo tayari kutowa ndege kuwapa Simba na Yanga kuliko kutumia helicopter za kijeshi kuwaisha majeruhi waje kutibiwa Tanzania kuondowa maisha Yao.

Hii nchi imelaaniwa.
Nimejikuta na tokwa na machozi ya uchungu Baba anapo kuwa mbali kutufariji watoto pindi tukipatwa na magumu ya ulimwenguni. Pale panagalikuwa panafika V 8 kiurahisi ungekuta misafara kila uchao.
 
Basi lilikuwa linatoka Johannesburg kuja Bongo.

Si kweli kila anayepanda bus NI kwamba Hana pesa ya kupanda mwewe, road trip ni full of adventure.

Dar to Johannesburg ni kilometres 5000 tu, ingekuwa issue ni umbali Marekani pasingekuwa na usafiri wa mabasi wa State to State, from West side to East coast hata masaa ndani ya Marekani ni tofauti ndani ya nchi moja.
Absolutely
 
Wengi hawajui ukweli NI Kwa nini watu hasa wakitoka South Africa wanapanda mabasi.

Viongozi wa serikali mjitafakari Sana, watu wanatumia paper kuishi South Africa kihalali kabisa, wakitaka kurudi nyumbani wanakwenda Pretoria kuchukuwa Emergency travel documents za kusafiria na tunazilipia pesa Kwa control number, unapanda ndege fresh Oliver Tambo kabiru anakugongea exit ukituwa tu Dar airport wanakumaliza utasema NI mkimbizi, utasoteshwa airport masaa na immigration na lazima upukutishwe pesa ndio unaruhusiwa kuingia kwenye nchi yako, NI Kwa nini Watanzania tunatesana wenyewe kiasi hiki?

Issue ya over stay inawahusu foreign country lakini siyo kwenye nchi yako, wajibu wa immigration ni kugonga entry Tu na hakuna maswali zaidi.

Nimeshatowa pesa mara nyingi hapo airport napigiwa simu mtu kamalizwa ukiuliza sababu eti over stay, this motherfuckers wanajuwa maana ya overstay? unatoka nchi za watu unagongewa exit, unaingia kwenye nchi yako wanakwambia overstay, siipendi kabisa CCM Kwa sababu inawafanyia dhulma Sana Watanzania.
Nafikiri ni kutokana na raia wenyewe wa Tz kutokujitambua, kwa nini usikatae kutoa hiyo rushwa unayoombwa kwa sababu ya overstay uliyofanya ktk nchi nyingine? Kosa la Overstay ulilofanya South Africa utahukumiwa na Mamlaka za Nchi ya South Africa, wala siyo na mamlaka za Tz.
 
Nafikiri ni kutokana na raia wenyewe wa Tz kutokujitambua, kwa nini usikatae kutoa hiyo rushwa unayoombwa kwa sababu ya overstay uliyofanya ktk nchi nyingine? Kosa la Overstay ulilofanya South Africa utahukumiwa na Mamlaka za Nchi ya South Africa, wala siyo na mamlaka za Tz.
Umewahi kusafiri nje ya Tanzania?
 
Ndiyo
Unataka kusemaje?
Kwahiyo unawajuwa vizuri immigration wetu.

Uko tayari umeshuka kwenye pipa badala ya kuungana na familia ufikie lockup Kwa sababu ya kukomaa nao?

Unajuwa Hilo bus la Mkombe nauli ni rand 2500 kama 350,000/= baada ya bei ya mafuta kupanda ni 400,000/= nauli.

Ukiwa Johannesburg nauli ya ndege ni around rand 3100 mpaka 3500 hakuna tofauti kubwa, kwahiyo JK Nyerere international airport ndio tatizo Kwa wasafiri, na mijitu iliyozoea rushwa Bila kuipa rushwa haina Amani kabisa.

Nimeshawahi kukomaa nao hao masaa matatu ndege karibu nne zimeshusha Abiria wanatoka wao wamekomaa na Mimi mpaka Mzee wangu mmoja alikuwa Boss wa KLM akanikuta yeye ndio alinitowa walimuonea aibu wote wanafanyakazi eneo moja airport.

Hao siyo watu waone hivyohivyo.
 
Watu wengi sasa hivi wanakifika Lusaka wanaitafuta Malawi ukifika Mzuzu unakua ushafika karibu na Songwe huko Serenje maroli mengi mno harafu wanaendesha katikati ya bara bara imeumiza sana hii ajali aisee watu wengi walikua wanarudi home..
Asante Kwa Muongozo Mkuu. Kuna jamaa wananunua ndinga South wanakujaga nazo kwa barabara wanaikwepa Sana Serenje
 
Kuna shida upande wa Mkombe, Leo tutapata list ya waliosafiri kutoka Chilundu border upande wa Zambia, hawa Jamaa hawatowi ushirikiano wa kutosha.
Customer care ya daslm huyo dada anawaambia ndugu wa majeruhi kuwa wawasiliane na SA wao ndio wana taarifa yaani waliopo daslm hawana taarifa za Lusaka aisee na inaonekana hawajajipanga yaani toka jana hawana watu wa kufatilia hospital ya Kabwe au hapo Serenje watu wawe na taarifa kamili...
 
South Africa mpk Dar es salama n siku ngap ?? Na mbali na passport kuwa nayo n documents gani muhimu kuwa nayo??
 
South Africa mpk Dar es salama n siku ngap ?? Na mbali na passport kuwa nayo n documents gani muhimu kuwa nayo??
Ukiwa na timing nzuri ya kuvuka border NI siku Tatu, border hazifanyi kazi 24 hours.

Kwa ndege ni masaa matatu, Kwa Passport ya Tanzania sasa hivi tumeondolewa viza ni entry tu kama unavyokwenda Nairobi.
 
Customer care ya daslm huyo dada anawaambia ndugu wa majeruhi kuwa wawasiliane na SA wao ndio wana taarifa yaani waliopo daslm hawana taarifa za Lusaka aisee na inaonekana hawajajipanga yaani toka jana hawana watu wa kufatilia hospital ya Kabwe au hapo Serenje watu wawe na taarifa kamili...
Hii ndio Hali halisi ya wagonjwa wametupwa sehemu kama kambi ya wakombozi tu.
Balozi wa Tanzania nchini Zambia anakoroma usingizi Tu.
 

Attachments

  • IMG-20231227-WA0112.jpg
    IMG-20231227-WA0112.jpg
    35.4 KB · Views: 7
  • IMG-20231227-WA0113.jpg
    IMG-20231227-WA0113.jpg
    37.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom