Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

Mwamba gani mkuu?
Maana Magufuli ndiyo aliwapa ruhusa waachinga wazae kila engo.
Shekhe mi nmetaja mwamba aliyegongwa sijamzungumzia Magufuli, katika maeneo mwenetu aliteleza ni hapa kuwapa kibali hawa. Shida tunataka kila mtu aridhike
Alale pema peponi Mwamba aliyegongwa apo
 
Ila kariakok boda boda ni nyingi na zinapita speed mbele ya watu wengi vile na bado wanajifanya wababe kweli . Hii nchi ni ya hovyo sana
 
huwa wana wenge, wakae nyumbani walee familia. hizi mishe za 50/50 zimetokea kuzimu.

YESU ni BWANA na MWOKOZI
Ila kule israel wanawake wamepeleka madege ya vita iran nakufanya mishe na kuzirudisha bila kuguswa
 
Kuna maswali ya kuuliza ya msingi...

1- Alivuka katika ZEBRA?
2- Dereva alishindwa kuokoa Maisha?

Gari za Mwendokasi, Fire, Ambulance huw hawaendeshi kwa tahadhari na ni kama wamepewa ruhusa ya kufanya ajali yoyote ile bila kuwajibishwa.

Msongamano wa watembea kwa miguu unasababishwa na Wamachinga.. inatakiwa sio kuweka barriers bali kuwatimua hao wamachinga ktk eneo la watembea kwa miguu ili kurahisisha flow ya watembea kwa miguu.

Watu wanakuw wanamawenge ktk kuvuka kutokana na changanyikeni ya pale. Matoroli.. boda, baiskeli, guta, bajaji, kirikuu..

Bado wabeba vinywaji.. na wauza accessories ndogo kama pete cheni miwani.. nao wanabeba mizigo inayokinga watembea kwa miguu.

Kuna maamuzi magumu yanatakiwa ikiwemo kutembeza bakora, Migambo hawana kazi ya kufanya wapewe rungu.
Wenyewe wanakwambia dereva ni tatizo😀

Hakuna Dereva, anapenda ajali, kwanza hyo nightmare ya kuua mtu, unaweza usirudi tena barabarani kama una roho nyepesi.
 
Sehemu za kupita njia watu wameweka biashara, hizi huruma za kipuuzi eti watauzia wapi ndo zinamaliza maisha ya watu. Kariakoo kunaboa sana, biashara zimejazana hadi barabarani kanjia kadogo sana kwaajili ya watembea kwa miguu, hapo hatuongei kuhusu uchafu hii nchi watu wanapelekwa kimayai mayai sana
RIP mwamba aliyegongwa🙏
Hii nchi, inabidi tupate raisi chizi chizi kama Magu. Haiwezekani yani tunajenga barabara kwa ajili ya kupita magari, watu wanafanya biashara
 
Uzuri wa bodaboda wao muda wote wana haraka,
Sheria za barabarani kwao ni uvunjaji wa haki zao za msingi,
kuwa na side mirror sio lazima kabisa,
Muda wote kusikiliza singeli kwa sauti ya juu kiasi hata sauti za taadhari hawasizisikii
kuwa subiri wengine wapite (kuwa na subira) haitakiwi.

RIP ma-afisa usafirishaji
 
Kuna siku nipo kwa daladala boda akajichanganya ku overtake bila tahadhari. Aiseee dele wa ile costa akamsogezea chuma ili akajibamize kwenye roli upande wa pili, kwa bahati akamkosa.

Jamaa akaanza kuongea bila aibu, “ana bahati sana, habari yake ingeishia hapa”.
Roho mbaya sana, hata km boda ana makosa kama anaweza kuzuia ajali bora uzuie... matatizo mengine kujitakia
 
na imekuwa ikitandikwa miaka na karne nyingi zilizopita kina dagoni wa wafilisti (wapalestina)
1 Samweli 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
² Wafilisti wakalichukua sanduku la Mungu, wakalitia katika nyumba ya Dagoni, wakaliweka karibu na Dagoni.
³ Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.
⁴ Hata walipoamka kesho yake asubuhi, kumbe! Dagoni ilikuwa imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana; na kichwa chake Dagoni na vitanga vya mikono yake vyote viwili vimekatika, vipo vimelala kizingitini; Dagoni ikasalia kiwiliwili chake tu.
 
Back
Top Bottom