Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

Mwamba gani mkuu?
Maana Magufuli ndiyo aliwapa ruhusa waachinga wazae kila engo.
Shekhe mi nmetaja mwamba aliyegongwa sijamzungumzia Magufuli, katika maeneo mwenetu aliteleza ni hapa kuwapa kibali hawa. Shida tunataka kila mtu aridhike
Alale pema peponi Mwamba aliyegongwa apo
 
Ila kariakok boda boda ni nyingi na zinapita speed mbele ya watu wengi vile na bado wanajifanya wababe kweli . Hii nchi ni ya hovyo sana
 
huwa wana wenge, wakae nyumbani walee familia. hizi mishe za 50/50 zimetokea kuzimu.

YESU ni BWANA na MWOKOZI
Ila kule israel wanawake wamepeleka madege ya vita iran nakufanya mishe na kuzirudisha bila kuguswa
 
Wenyewe wanakwambia dereva ni tatizo😀

Hakuna Dereva, anapenda ajali, kwanza hyo nightmare ya kuua mtu, unaweza usirudi tena barabarani kama una roho nyepesi.
 
Hii nchi, inabidi tupate raisi chizi chizi kama Magu. Haiwezekani yani tunajenga barabara kwa ajili ya kupita magari, watu wanafanya biashara
 
Uzuri wa bodaboda wao muda wote wana haraka,
Sheria za barabarani kwao ni uvunjaji wa haki zao za msingi,
kuwa na side mirror sio lazima kabisa,
Muda wote kusikiliza singeli kwa sauti ya juu kiasi hata sauti za taadhari hawasizisikii
kuwa subiri wengine wapite (kuwa na subira) haitakiwi.

RIP ma-afisa usafirishaji
 
Roho mbaya sana, hata km boda ana makosa kama anaweza kuzuia ajali bora uzuie... matatizo mengine kujitakia
 
na imekuwa ikitandikwa miaka na karne nyingi zilizopita kina dagoni wa wafilisti (wapalestina)
1 Samweli 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
² Wafilisti wakalichukua sanduku la Mungu, wakalitia katika nyumba ya Dagoni, wakaliweka karibu na Dagoni.
³ Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.
⁴ Hata walipoamka kesho yake asubuhi, kumbe! Dagoni ilikuwa imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana; na kichwa chake Dagoni na vitanga vya mikono yake vyote viwili vimekatika, vipo vimelala kizingitini; Dagoni ikasalia kiwiliwili chake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…