Basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili

Basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili

Alfagems samaleko zangu zikufikie popote ulipo mkuu!

Mungu akubariki sana na kukupa fwedhaaaa nyingi sanaaa.

Ujumbe: Penye chuki Kuna h
Shukrani Ndugu Yangu. Japokuwa Mimi sio Mpenzi wa Ku- Comment Lakini Tupo Pamoja , Napenda sana Kusoma Na Ku- Like. Mimi,
Min- Me Na Raraa reree Tunapenda Sana kuhakiki kila Comment 😅
Alfagems samaleko zangu zikufikie popote ulipo mkuu!

Mungu akubariki sana na kukupa fwedhaaaa nyingi sanaaa.

Ujumbe: Penye chuki Kuna helaaaaa
 
Natuma salamu maalumu kwa shemeji na shangazi zangu binti kiziwi na Madame B.

ujumbe: nileteeni mchumba, lasivyo mta zeeka bila kuwa ona wapwa zenu,
Wanazeeka wa kijiji huko bhana
Mimi bado mwanamke rijali na nusu.
Si nilikuchagulia mchumba ukaleta pozi unaona sasa unapata wenge? Pole mpwa ila ngoja niangalie namna ya kufanya
 
Back
Top Bottom