Watu wote duniani wanatoa sadaka,wanatoa michango,Wana viwanja na mashamba?Nafikiria 350k mtu anaishije nauli humo humo, chakula, pango, vocha, dharura, michango, sadaka, watoto shule na bado mtu atataka maendeleo mengine kama kunua kiwanja, mashamba, kumiliki usafiri, kujenga, n,k
Unachojua ni kusoma na kuandika tu hata hesabu ndogo ndogo hujui.Wewe umeona ukizidisha hio unapata ngapi million 500?
Gari kama nyumba,..........gari sio elimu ile,..........mtu anaweza Jenga nyumba 50M.na akaishi bila stress,il mtu anaweza tumia hio 50M kuweka ti zege ya floor ya nyumba yake ikiwa hata hajapandisha msingiUsisahau kakopa million 9 kanunua gari ya million 4 anavimba mjini, million 5 kafungulia biashara ya mpesa anaishi mjini
Kuna sehemu niliona watu wanashangaa mwalimu kanunua gari? Nikasema nyinyi hamjui yule mwalimu alichokifanya
Sawa kwa hio million 300?Unachojua ni kusoma na kuandika tu hata hesabu ndogo ndogo hujui.
Ukichukua 133,000×30= ?. Unaona hapo inakuja million 500 au million 800?. Muda mwingine ukikaa kimya unaonekana una uafadhari, kuliko kujibu ujinga.
Jifunze kutofautisha Basic salary, Gross salary pamoja na take home.
Usiku mwema Mbwiga.Sawa kwa hio million 300?
Mwalimu kanunua gari kumbe kakopa kila mwisho wa mwezi analimwaGari kama nyumba,..........gari sio elimu ile,..........mtu anaweza Jenga nyumba 50M.na akaishi bila stress,il mtu anaweza tumia hio 50M kuweka ti zege ya floor ya nyumba yake ikiwa hata hajapandisha msingi
Idumu MizimuUsiku mwema Mbwiga.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.Sawa Mwalimu
Ndio ni lazima, sheria inataka hivyo.Hizo sh 4456 za PAYE labda zinaeleweka, lakini sh 7920 za TALGWU zina maana gani? Ni wizi tu wa kisheria kuwatajirisha wachache wanaojifanya wawakilishi wa wafanyakazi kumbe ni wapigaji na walaji tu
Naomba kuelimishwa sheria inamlazimisha mfanyakazi kujiunga na hiyo TALGWU? Siyo hiyari?
Kumbuka sh1850 ya 2005 si sawa na ya 2025.Hiyo laki na thelathini wengine ndio basis salary
Mwaka 2005 nilikuwa nafanya kazi kiwanda kimoja cha wahindi tulikuwa tunalipwa 1850 per day na tulikuwa tunapiga kazi kama kawaida
Kama sio askari huyo sijui.Watu wanatamani kusema huo mshahara ni wa mwalimu lakini kuona hakuna makato ya Cwt wanaishia kububujikwa na machozi kama Lucas MuoshaMbwa...
Naweza kuwa mpumbavu lakini kumlipa binadamu mwenzio 370k tena basic ni uchuro!Hio taasisi yenu,watumishi wote wanalipwa mshahara mmoja?
Hio taasis yenu watumishi wenu wana taaluma Moja?
Je wewe sio mpumbavu?
Hapa umekurupuka kujibu bwasheeWatu wote duniani wanatoa sadaka,wanatoa michango,Wana viwanja na mashamba?
Atakuja shoga atasema KY jelly Moja inauzwa Elfi 20,na kila wiki anahitaji 2,....sasa mtu mwenye huo mshahara atafi.rwaje?
Una mimba yangu nilishakukaza sasa unatematema mate tu humuUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
Tangu lini TALGWU ikawa ni association ya walimu?
Mara "idumu mizimu"
Unafikiri kila mtu ni mshirikina kama wewe?
Nampa pole aliyekuoa.
Kuna njia nyingi zipo kwenda kuzimu moja kwa moja kupitia malango ya kuzimuMara "idumu mizimu"
Unafikiri kila mtu ni mshirikina kama wewe?