Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Kwahiyo mil 1.8 unaiona kubwa??Fanya kazi acha kulalama,Mimi nimeanza kazi nalipwa 80,000 kama basic na take home 65 ,000,Leo hii basic salary ni 1.8M ,hata Mbuyu ulianza kama mchicha
#YNWA
#YANGA_BINGWA