Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukari ilikuwa kilo 500Hiyo laki na thelathini wengine ndio basis salary
Mwaka 2005 nilikuwa nafanya kazi kiwanda kimoja cha wahindi tulikuwa tunalipwa 1850 per day na tulikuwa tunapiga kazi kama kawaida
Hebu ficha hii personal document yako mkuu!Kuna sehemu nimeiona hii salary slip nimeshangaa sana wazee,
Nchi inayoelekea uchumi wa kati,
Mwaka huu bado kuna watu wanalipwa hvyo toa mkopo mtu anabaki na laki na theraaini kwa mwezi, na tunataka huduma bora na nchi imeimarika kiuchumi!
Hii ni kada gani hapa nchini?
View attachment 3196097
Weka salary yako ya Sasa tuione ili nasi "new kama" tupate chachu kutoka kwakoFanya kazi acha kulalama,Mimi nimeanza kazi nalipwa 80,000 kama basic na take home 65 ,000,Leo hii basic salary ni 1.8M ,hata Mbuyu ulianza kama mchicha
1850 ya mwaka 2005 utailinganisha na sasa acha ku expose ujuha wako humu hujui kuna masuala ya infleshen kuna watu ni vichwa maji kweli kweli yani.Hiyo laki na thelathini wengine ndio basis salary
Mwaka 2005 nilikuwa nafanya kazi kiwanda kimoja cha wahindi tulikuwa tunalipwa 1850 per day na tulikuwa tunapiga kazi kama kawaida
Kwahiyo hapo unaona umetoboaa😀Fanya kazi acha kulalama,Mimi nimeanza kazi nalipwa 80,000 kama basic na take home 65 ,000,Leo hii basic salary ni 1.8M ,hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Mkuu Unaweza acha kazi kama masrahi ni kidogo,sijawahi ona gavoo yetu ikilazimisha kuajiri watuWakati wewe unaanza kazi thaman ya dola ilikuwa 2500? Au bangi zinakusumbua? Maisha yamebadilika.
Ndiyo, Sasa ningekuwa sijaridhika ningeshaacha kazi,halafu hatuwezi kulingana eti fulani analipwa 5M na Mimi nilipwe hivyoKwahiyo hapo unaona umetoboaa😀
Safi kabisaChawa la chura kiziwi
😂😂😂🤣🤣Huyo huyo una mkuta kavaa nguo ya kijani na anajigamba......
Ningekua mimi nachukua huo mkopo na kuacha kazi hapohapo siwezi ujingaKuna sehemu nimeiona hii salary slip nimeshangaa sana wazee,
Nchi inayoelekea uchumi wa kati,
Mwaka huu bado kuna watu wanalipwa hvyo toa mkopo mtu anabaki na laki na theraaini kwa mwezi, na tunataka huduma bora na nchi imeimarika kiuchumi!
Hii ni kada gani hapa nchini?
View attachment 3196097
Mkopo wanamkata 215,000 Kama ni miaka Saba means alikopa sio zaidi ya milioni 13.Kuna sehemu nimeiona hii salary slip nimeshangaa sana wazee,
Nchi inayoelekea uchumi wa kati,
Mwaka huu bado kuna watu wanalipwa hvyo toa mkopo mtu anabaki na laki na theraaini kwa mwezi, na tunataka huduma bora na nchi imeimarika kiuchumi!
Hii ni kada gani hapa nchini?
View attachment 3196097
Mwaka huo wa 2005 bia moja safari ilikuwa inauzwa TZS 600.Hiyo laki na thelathini wengine ndio basis salary
Mwaka 2005 nilikuwa nafanya kazi kiwanda kimoja cha wahindi tulikuwa tunalipwa 1850 per day na tulikuwa tunapiga kazi kama kawaida
Mi mshahara wangu ni 140k kwahiyo nimempita buku 7..!!!Huenda haishi kwa kutegemea mshahara, huo mkopo kaingiza kwenye biashara zake za vinywaji vya jumla, maana bila shaka hiyo ni salary slip ya ndgu yangu Liverpool VPN