Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Hili ni swali au taarifa?
Hiyo ni taarifa.
Huyo dada anapaswa kwa sasa kutulia. Alipewa cheo kama fadhila (hakuwa na vigezo vyovyote vya msingi kijamii au kisiasa kutumikia umma), leo ametumbuliwa analalamika kimtindo kuwa ameonewa, kwanini alipopewa cheo hakukikataa na kusema amependelewa?

Aliyemteua hapo awali ndiye yule yule aliyemtumbua, kuna kipi cha ajabu?

Kama anaamini ana uwezo mkubwa wa kuitumikia jamii, aitumikie sasa jamii akiwa mtu huru, asilalamike tena, sio lazima awe DC ndio aitumikie jsmii.
 
Baba yake alikuwa daktari wa kwanza m Tanzania kuwa mkuu wa hospital ya taifa ya muhimbili baada ya uhuru.

Huyo dada amerithi majumba oysterbay, masaki, mikocheni.

Anamiliki kumbi za harusi.

Yaani ana urithi wa kutosha tu huyo basila.

Nazani Ndie miss Tanzania kutoka familia mambo safi kuliko wote kuwahi kutokea
Hahahahahah kwa style hio hawezi kufa na stress ya hicho kibarua. Na ilikuwa ashindwe tu maana amekulia uzunguni hawezi kuwa na itikadi za kimatumbi huyo. Mzungu daima hawezi kushiriki unafiki sababu ya njaa njaa na ofisi za kibongo bila unafiki huwezi elewana na watendaji wenzio
 
Baba yake alikuwa daktari wa kwanza m Tanzania kuwa mkuu wa hospital ya taifa ya muhimbili baada ya uhuru.

Huyo dada amerithi majumba oysterbay, masaki, mikocheni.

Anamiliki kumbi za harusi.

Yaani ana urithi wa kutosha tu huyo basila.

Nazani Ndie miss Tanzania kutoka familia mambo safi kuliko wote kuwahi kutokea

Miss Tanzania
Mixer familia yenye uwezo nongwa ya uDC ya nini? Pesa hupungua sio kama ukitumia haiishi

Ukiwekwa pembeni tulia, kwann hawajifunzi kwa Makamba enzi za Magu
 
Hahahahahah kwa style hio hawezi kufa na stress ya hicho kibarua. Na ilikuwa ashindwe tu maana amekulia uzunguni hawezi kuwa na itikadi za kimatumbi huyo. Mzungu daima hawezi kushiriki unafiki sababu ya njaa njaa na ofisi za kibongo bila unafiki huwezi elewana na watendaji wenzio

Sasa atulie ale pesa za mzee wake, analalamikiaje uDC mtoto w don
 
Anasemaje huyu ? Asifikiri watu walikua hawamjui? Amesahau alichomfanya William Mngazija ?
Amefanya nini Cha ajabu tangu aje hapa?
Korogwe ndio mji pekee hapa duniani ambao katikati yake kunapita mto wenye maji mengi yanayozalisha umeme, lkn Korogwe HAKUNA MAJI YA BOMBA. MIAKA HII MITANO YA BASILA NDIO SHIDA YA MAJI IMEFIKIA KILELENI.
A kwendre huko.....
 
Basila ni jembe...

Ila ukitumbuliwa, tumbuka...vyeo vyenyewe vya kupewa hivyo
 
Huyo dada yupo vizuri kipesa kitambo.

Ana urithi wa kutosha tu wa mijengo prime areas.

Kabla hajateuliwa tu alikuwa anaendesha gari za gharama kuliko v8

Sasa mbona analia Lia kuhusu katumbuliwa. Anyamaze yeye sio wa kwanza.
 
Na Basilla Mwanukuzi

KUNA CHA KUJIFUNZA

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)

2. Pili kuleta matokeo

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'

3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)

FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa

Instagra: basillamwanukuzi
Hivj Basila alitoa zawadi za washibdiwa Miss Tanzania zilizopita?
 
Hata kama, ila si analaliwa, kuna mtu anamlalia juu, asilete dharau kwa kujiweka matawi ya juu, si ajabu saa hz anapigwa mbuzi kagoma ruka ukuta, kaonyesha dharau sana kujiona yuko peponi, hana adabu, pumbaf, hana cha maana, sura ngumu kama msukuma Dr. Fake
Mheshimiwa vipi, mbona lugha kali sana?
 
Jembe gani? Amefanya Nini zaidi ya kumdhalilisha William Mngazija.

Huko kwenye siasa za majitaka za CCM sijui walivyofanyiana wao kwa wao...

Nimeandika kutokana na kumjua Basila katika utendaji kwenye kada nyingine kiuongozi...

Ndio maana pamoja na kuandika hivyo, nikaweka hitimisho ya kwamba "Ukitumbuliwa, tumbuka...vyeo vyenyewe hivyo ni vya kupewa"
 
Back
Top Bottom