Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Kwangu video hazifunguki na hili ni tatizo la wengi hapa JF
Sio kwako tuu hata kwangu hiki ni kilio cha wengi labda uliripotie .
Wengi watakuambia utumie browser .
Mi kwa kweli hii browser imenishinda nishazoea app yenyewe kwa cm
 
Muwe mnasoma na kuelewa kilichoandikwaNimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!
Mshana, ungefanya pia jambo jema mwishoni kwa kuweka tahadhari pia kua: anayeona kuwa post haimfai na haamini katika haya basi apite salama na asijisumbue hata ku-comment!!
 
Kila kitu unakitazama Kwa jicho la ushirikina ile gari iliangukia juu ya paa la nyumba ukadai ni ushirikina badilika bro sio kila kitu uchawi mawazo kama yako yanarudisha nyuma hata jitihada za kujikwamua kwny umaskini.
 
Hujamuelewa. Hajasema wameuana kwa ushirikina ila amesema kwa wao walozi silaha inayoua ina "faida" huko kwao. Ni kama kamba anayojinyongea mtu
 
Kwa mawazo yako ya kishirikana sitoshangaa nikisikia umeua mtu ili uzindike mali zako.Mwanga mkubwa wewe.
 
Lakini inasemekana huyu dogo babayake alikuwa jambazi ,sasa labda visasi vimerudi kupitia mtoto
Kumbe nilichoandika kilikuwa sahihi kabisa[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Kweli mfano mwenye bar angekua anamiliki nae mguu wa kuku ninauhakika angemuwai muuaji yule aliekufa angepona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…