Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Kwangu video hazifunguki na hili ni tatizo la wengi hapa JF
Sio kwako tuu hata kwangu hiki ni kilio cha wengi labda uliripotie .
Wengi watakuambia utumie browser .
Mi kwa kweli hii browser imenishinda nishazoea app yenyewe kwa cm
 
Muwe mnasoma na kuelewa kilichoandikwaNimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!
Mshana, ungefanya pia jambo jema mwishoni kwa kuweka tahadhari pia kua: anayeona kuwa post haimfai na haamini katika haya basi apite salama na asijisumbue hata ku-comment!!
 
Kila kitu unakitazama Kwa jicho la ushirikina ile gari iliangukia juu ya paa la nyumba ukadai ni ushirikina badilika bro sio kila kitu uchawi mawazo kama yako yanarudisha nyuma hata jitihada za kujikwamua kwny umaskini.
 
Brother hii sio poa bwana, yani watu walewe wauane wewe uje uhusishe na ushirikina kweli?

Itafika mahali sasa hata ukipaliwa na maji utasema ni ushirikina... Penye wengi pana mengi.
Uwingi wa watu duniani lazima kuwe na matukio ya tofautitofauti ya vurugu, furaha na mengine mengi
Hujamuelewa. Hajasema wameuana kwa ushirikina ila amesema kwa wao walozi silaha inayoua ina "faida" huko kwao. Ni kama kamba anayojinyongea mtu
 
Kwa mawazo yako ya kishirikana sitoshangaa nikisikia umeua mtu ili uzindike mali zako.Mwanga mkubwa wewe.
 
Lakini inasemekana huyu dogo babayake alikuwa jambazi ,sasa labda visasi vimerudi kupitia mtoto
Kumbe nilichoandika kilikuwa sahihi kabisa[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Hawa ndiyo wanatufanya sasa hata kama ulitaka uongeze silaha ya pili nyumbani kwa ulinzi wa mali zako serikali inakupa masharti kibao.kama ulikasirika au umevamiwa kuna ile tukio la kwanza kama tahadhari huyo adui wako akuelewe unaimiliki piga juu.ya pili pia kama ameona kuna ile kama kujilinda kama tahadhari unapiga kwenye miguu tu.tatu kama alikuwa unaona na wewe maisha yako huyo mwengine ana silaha ndiyo kujiokoa ushamtahadharisha umepiga juu bado anakutafuta na silaha yake unamuwahi yeye kabla hajakuwahi ya moyo.ila huyu kaitumia silaha vibaya kwa hali zoote kwanza hao hawakuwa na silaha kama yake,ipo haja serikali ipitie upya sheria za umiliki wa silaha ili tusirudi kama mauaji ya marekani na south africa.Mambo haya tulishawahi kujadili toka zama za mkapa hapo silaha zitakapoanza kuuzwa dukani kama pipi.kwanza kuna kipengele chake unapoachiwa uimiliki huruhusiwi kwenda nayo club kama za pombe inatgemea uliiomba kama wewe ndiye mmiliki halali wa club.Huyu katuharibia ambao tunataka tumiliki silaha tena sana.Na hili litaongeaa kutubana upyaaaa.
Kweli mfano mwenye bar angekua anamiliki nae mguu wa kuku ninauhakika angemuwai muuaji yule aliekufa angepona
 
Back
Top Bottom