KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupo mmoja mitaa ya PandeMshana Jr mzee wa bata siku 5460, naomba jawabu lako. Damu ya bata ina nini kiasi kwamba haitakiwi na waganga, haitakiwi kwenye tambiko na wala haitakiwi kwenye zindiko?
Bata anatumika Sana kwenye tambiko la kabila la wabembe nchini Kongo na mkoani kigomaBata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Si kweliBata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa kama anakula hadi Mavi unaona anafaa huyo Mkuu? Umeshawahi Kuwafuga hawa? Wakikusikia uko Chooni Unakunya ( Unaukweka ) wanakuja kuwa karibu nawe huku wakifurahi kwani wanajua umewakumbuka kwa Chakula chao Tukuka.Mshana Jr mzee wa bata siku 5460, naomba jawabu lako. Damu ya bata ina nini kiasi kwamba haitakiwi na waganga, haitakiwi kwenye tambiko na wala haitakiwi kwenye zindiko?
Mbna umughaka UMUGHAKA alituambia kuwa amewakuta Bata kwa kina Monica na wew unasema uwezi kuwakuta Bata kwa waganga ,Monica kwao wachawi ila bta wapo wakutoshaBata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Na nyoka hakatizi mbele yake!sema bata nae anamasihara mengi achelewi kuzomea mizimu! we unazan itakuaje sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema bata nae anamasihara mengi achelewi kuzomea mizimu! we unazan itakuaje sasa
Dah.... Mkurya una husuda sana wewe, lohSasa kama anakula hadi Mavi unaona anafaa huyo Mkuu? Umeshawahi Kuwafuga hawa? Wakikusikia uko Chooni Unakunya ( Unaukweka ) wanakuja kuwa karibu nawe huku wakifurahi kwani wanajua umewakumbuka kwa Chakula chao Tukuka.
Kwa Uingereza ukigonga bata au kondoo unafutiwa leseni yakoBata ana mikosi saña kama siyo mkosi bin nuksi waulze madereva wanaojua jins wanavyomkwepa bata akijichanganya kwa gar kwanza ukimgonga unaweza kutana ña balaa jingne huko mbele ya safar yako bata siyo poa