lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,651
- 7,299
Kama ni najisi sawa na kitimoto, MBONA Kuna mtu wa swala 7 anafuga Bata?Bata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app