KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhindi😍😍🤤Bata mchafu labda
Nakubaliana na wewe. Wake wa waganga wengi wa kienyeji hawatakubali kuandaa bata na wengi hawali.Bata sio Popular halafu uandaaji wake mgumu.
Mimi siyo Mkurya ila nawaheshimu sana na Nawapenda pia.Dah.... Mkurya una husuda sana wewe, loh
Bata hatakagi UPAMBAVU hata akiwa anakatiza barabara huwa hayumbishwi hata ukija na Buldozzer wala hakupishiMshana Jr mzee wa bata siku 5460, naomba jawabu lako. Damu ya bata ina nini kiasi kwamba haitakiwi na waganga, haitakiwi kwenye tambiko na wala haitakiwi kwenye zindiko?
Sawa KisunguraMimi siyo Mkurya ila nawaheshimu sana na Nawapenda pia.
Mimi ni Mchanganyiko wa Makabila ya Zanaki ( Mara ), Makuwa ( Mtwara ) na Tutsi ( Gisenyi ) nchini Rwanda.
Na majina yangu Kamili ya NIDA, RITA na Passport ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura.
Cc: adriz, Bujibuji Simba Nyamaume
Si kweli hata kidogo..Bata ana mikosi saña kama siyo mkosi bin nuksi waulze madereva wanaojua jins wanavyomkwepa bata akijichanganya kwa gar kwanza ukimgonga unaweza kutana ña balaa jingne huko mbele ya safar yako bata siyo poa
Bata sio Popular halafu uandaaji wake mgumu.
Umepatia 80%Bata mchafu labda
Kiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuliMshana Jr mzee wa bata siku 5460, naomba jawabu lako. Damu ya bata ina nini kiasi kwamba haitakiwi na waganga, haitakiwi kwenye tambiko na wala haitakiwi kwenye zindiko?
[emoji1787]Utamu wote wa kitimoto waganga warozi wamechemka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majini yatakimbia kilingeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli Mwenyezi ni mjuzi wa yote
Kuharisha ndio choo chake!Kiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuli
Cha pili ni uzito wake si mwepesi na ni goigoi, kutumia damu yake kutachelewesha mchakato mzima ea nguvu ya dawa husika
Anapenda tope, unyevu na mazingira machafu, anaharisha hovyo! Unyevu na tunguli haviivi
Na ndio uchafu wenyewe maana uharo hauna break wala stahaKuharisha ndio choo chake!