Bata ana nini jamani? Nimeenda kwa waganga wengi sana, sijaona anayeagiza bata

Bata ana nini jamani? Nimeenda kwa waganga wengi sana, sijaona anayeagiza bata

Naskitika sana uko zako road mara unakutana na mdada mzuri kweli ila ni muumini wa kwenda kwa waganga nguo zao hazina siri akienda anajulikama mapema ...

Sasa sijui wanafuata nini kule
 
Dah.... Mkurya una husuda sana wewe, loh
Mimi siyo Mkurya ila nawaheshimu sana na Nawapenda pia.

Mimi ni Mchanganyiko wa Makabila ya Zanaki ( Mara ), Makuwa ( Mtwara ) na Tutsi ( Gisenyi ) nchini Rwanda.

Na majina yangu Kamili ya NIDA, RITA na Passport ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura.

Cc: adriz, Bujibuji Simba Nyamaume
 
Bata ana mikosi saña kama siyo mkosi bin nuksi waulze madereva wanaojua jins wanavyomkwepa bata akijichanganya kwa gar kwanza ukimgonga unaweza kutana ña balaa jingne huko mbele ya safar yako bata siyo poa
Si kweli hata kidogo..
Ukiwa unaendesha gari kuwa makini sana na wanyama MAZEZETA wanapovuka barabara....mfano.ng'ombe..tembo..bata..n.k. hata faini yake ni kubwa tofauti na wanyama CHAKARAMU kama mbuzi...ngiri..kwake..kuku..paka n.k...hawa ukiwagonga wewe chap lapa.
 
Mshana Jr mzee wa bata siku 5460, naomba jawabu lako. Damu ya bata ina nini kiasi kwamba haitakiwi na waganga, haitakiwi kwenye tambiko na wala haitakiwi kwenye zindiko?
Kiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuli

Cha pili ni uzito wake si mwepesi na ni goigoi, kutumia damu yake kutachelewesha mchakato mzima ea nguvu ya dawa husika

Anapenda tope, unyevu na mazingira machafu, anaharisha hovyo! Unyevu na tunguli haviivi
 
Utamu wote wa kitimoto waganga warozi wamechemka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majini yatakimbia kilingeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli Mwenyezi ni mjuzi wa yote
[emoji1787]

Jicho la nne ono la njia ya kuzimu
 
Kiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuli

Cha pili ni uzito wake si mwepesi na ni goigoi, kutumia damu yake kutachelewesha mchakato mzima ea nguvu ya dawa husika

Anapenda tope, unyevu na mazingira machafu, anaharisha hovyo! Unyevu na tunguli haviivi
Kuharisha ndio choo chake!
 
Anaingia sebuleni ukifanya kosa la kumfukuza bas akigeuka TU kurudi sebule ishachafuka."nani ampende Sasa Kwa tabia hiyo?
 
Back
Top Bottom