Bata ana nini jamani? Nimeenda kwa waganga wengi sana, sijaona anayeagiza bata

Bata ana nini jamani? Nimeenda kwa waganga wengi sana, sijaona anayeagiza bata

Sasa kama anakula hadi Mavi unaona anafaa huyo Mkuu? Umeshawahi Kuwafuga hawa? Wakikusikia uko Chooni Unakunya ( Unaukweka ) wanakuja kuwa karibu nawe huku wakifurahi kwani wanajua umewakumbuka kwa Chakula chao Tukuka.
Hata kuku anakula kinyesi ndg
 
Back
Top Bottom