Kama ni najisi sawa na kitimoto, MBONA Kuna mtu wa swala 7 anafuga Bata?Bata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna jamaa yangu wa kigoma anafuga Bata balaaa lakini kimuonekano sio mtu wa kufuga Bata!! Kumbe ana kazi nao bwana!Bata anatumika Sana kwenye tambiko la kabila la wabembe nchini Kongo na mkoani kigoma
Maji yake kwenye uti wa mgongo ndio mabaya zaidi. Yakiigusa nyama hailiki tenaNyama ya bata ina shombo sana.
Waganga wana swaga nao ujue
Mmh mshana embu fafanua hapa naitaji kujua zaidiMaji yake kwenye uti wa mgongo ndio mabaya zaidi. Yakiigusa nyama hailiki tena
Alikuambia Nani au ulisoma wapi kuwa bara ni najisi?Bata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Kuku ni wajinga Sana barabarani bora bata yeye yupo straight, kuku anaweza akaenda, mara ghafla akarudi,yani kumgonga ni kugusa tuuSi kweli hata kidogo..
Ukiwa unaendesha gari kuwa makini sana na wanyama MAZEZETA wanapovuka barabara....mfano.ng'ombe..tembo..bata..n.k. hata faini yake ni kubwa tofauti na wanyama CHAKARAMU kama mbuzi...ngiri..kwake..kuku..paka n.k...hawa ukiwagonga wewe chap lapa.
Ni kwa ajiri ya biashara tu.Kama ni najisi sawa na kitimoto, MBONA Kuna mtu wa swala 7 anafuga Bata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje kondoo alitumika sana kwenye kafala huko kale tofauti na sasa? Kondoo pia sio mchangamfu kivile kama Mbuzi, vip kuhusu kumtolea kafala?Kiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuli
Cha pili ni uzito wake si mwepesi na ni goigoi, kutumia damu yake kutachelewesha mchakato mzima ea nguvu ya dawa husika
Anapenda tope, unyevu na mazingira machafu, anaharisha hovyo! Unyevu na tunguli haviivi
Wataalam wa bata hamkai mbaliMaji yake kwenye uti wa mgongo ndio mabaya zaidi. Yakiigusa nyama hailiki tena
Kuna namna ya kumkata bata ili ule uteute wa kwenye uti wa mgongo usiguse nyama nyingine la sivyo itapoteza ladha kabisaMmh mshana embu fafanua hapa naitaji kujua zaidi
Kondoo kafara, mbuzi ushirikinaInakuwaje kondoo alitumika sana kwenye kafala huko kale tofauti na sasa? Kondoo pia sio mchangamfu kivile kama Mbuzi, vip kuhusu kumtolea kafala?
Eee kumbe tofauti!Kondoo kafara, mbuzi ushirikina
Ipige viungo ufaidi uhondoNyama ya bata ina shombo sana.
Waganga wana swaga nao ujue
Naomba jina la uzi uliotaja wanyama, link ntatafuta mwenyeweKiroho ni mnyama mchafu asiyechagua cha kutia mdomoni kama NOA[emoji200] kuna mada nadhani nimefafanua wanyama wafaao kwenye hizo shughuli
Cha pili ni uzito wake si mwepesi na ni goigoi, kutumia damu yake kutachelewesha mchakato mzima ea nguvu ya dawa husika
Anapenda tope, unyevu na mazingira machafu, anaharisha hovyo! Unyevu na tunguli haviivi
Bata Najisi Kwako Au Huna pesa Ya Kuafford Bata Sema hivo.Bata ni najisi kama alivyo kitimoto..hata shetani na washirika wake wanafahamu hilo..ndio mana katu huwezi kwenda kwa mganga au any rituals ukakuta wanatumia hao wanyama.
#MaendeleoHayanaChama
Hujawah kula haimaanishi hawapoHata mahotelin bata hakuna
Sijawah kula bata