bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
- Thread starter
-
- #441
Mi nina wasiwasi mkuu kuwa Engineer hana hata hizo akili za darasani kwa matendo yakeNachoweza kusema engineer akili za darasani anazo ila huko alishatoka,atafute akili ya maisha,aache dharau,kejeli na matusi and above all amu acknowledge the Lord almighty ili aweze kutranslate akili yake iwe real success
Yawezekana ndo maana amekuwa addicted na Puli.naweza thubutu kusema hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
HANA DEMU yule injinia
Swadakta kabisa mkuuThe end justifies the means,hatusomei sifa tunasomea pesa and in the end good life,ata km umesoma KLF ukiwa na pesa ndio wa maana
Akili za kukaririMi nina wasiwasi mkuu kuwa Engineer hana hata hizo akili za darasani kwa matendo yake
Lazima atakuwa amesoma katika shule ya vipaji za serikali, wengi wao ndio wapo hivyo kujisifu kuwa wao wakali. Tabia hiyo wanayo hata wakiwa makazini, ila katika maisha uwa wanapigwa gap kubwa sana. Siunajua hao wazee wa kukariri na kusoma sana.Mwanamme hawezi andika maneno kama haya tena kwa mwanamme mwenzake, lazima utakuwa na shida sehemu flani. Halafu umetoa vi sifa vya kijingajinga.
Unamdharau mtu aliesoma HKL wakati unaweza ukakuta ndio anakuajiri na hako ka degree kako ka Telecom, wabongo tunapenda sana sifa za kijinga. Yaani kuwa na hicho ki degree ndio unaona umeukata na kuwatambia wenzako.
Angalia akina Zuckerberg, Bill Gates, Bakhressa, Manji n.k hawana huo ujinga unaoutambia lakini ndio wanatesa na maisha, hata ulio watolea mifano akina Ronaldo na Mayweather hawana elimu lakini wanatesa na maisha.
Leo wewe unakuja na ki degree chako uchwara unaanza kumtusi mtu. Ya nini yote hayo sasa na jamaa umemwandama kweli hata kwenye uzi mwingine umetema shit kuhusu yeye, mtoto wa kiume acha wivu usije kuta wewe ndo unayo yale unayomtolea yeye.
Kaenda kuroga nn?Atashindwa tu in Jiwe's voiceinginia ameonekana kantalamba rukwa..
Nipe 50 kama aliyopewa amuUsihofu mama,kushindwa kwa mwanasayansi mmoja hatujashindwa wote!hata wa arts mbona alosto wengi tu,hapa ni engineer mmoja na mtaalamu wa lugha mmoja,character ya mtu ni character yake tu hata asome aerospace engineering au law harvard
Hahahahaha BUKU_50_CHALLENGE_HIYO.Nipe 50 kama aliyopewa amu
Rekebisha mamaaa nimepewa 125,000 kusema nimepewa 50k na mke wa Humble Zahra ni kuwadhalilisha aiseeeNipe 50 kama aliyopewa amu
50 sio tatizo inatokaje tokaje?Nipe 50 kama aliyopewa amu
[emoji23][emoji23][emoji23]Day 1582 without sex
Nimelala usiku Nimejifunika mwili mzima kwa net na shuka na kuacha dushelele nje ili mradi mbu wasuck