BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Nachoweza kusema engineer akili za darasani anazo ila huko alishatoka,atafute akili ya maisha,aache dharau,kejeli na matusi and above all amu acknowledge the Lord almighty ili aweze kutranslate akili yake iwe real success
Mi nina wasiwasi mkuu kuwa Engineer hana hata hizo akili za darasani kwa matendo yake
 
Mwanamme hawezi andika maneno kama haya tena kwa mwanamme mwenzake, lazima utakuwa na shida sehemu flani. Halafu umetoa vi sifa vya kijingajinga.

Unamdharau mtu aliesoma HKL wakati unaweza ukakuta ndio anakuajiri na hako ka degree kako ka Telecom, wabongo tunapenda sana sifa za kijinga. Yaani kuwa na hicho ki degree ndio unaona umeukata na kuwatambia wenzako.

Angalia akina Zuckerberg, Bill Gates, Bakhressa, Manji n.k hawana huo ujinga unaoutambia lakini ndio wanatesa na maisha, hata ulio watolea mifano akina Ronaldo na Mayweather hawana elimu lakini wanatesa na maisha.

Leo wewe unakuja na ki degree chako uchwara unaanza kumtusi mtu. Ya nini yote hayo sasa na jamaa umemwandama kweli hata kwenye uzi mwingine umetema shit kuhusu yeye, mtoto wa kiume acha wivu usije kuta wewe ndo unayo yale unayomtolea yeye.
Lazima atakuwa amesoma katika shule ya vipaji za serikali, wengi wao ndio wapo hivyo kujisifu kuwa wao wakali. Tabia hiyo wanayo hata wakiwa makazini, ila katika maisha uwa wanapigwa gap kubwa sana. Siunajua hao wazee wa kukariri na kusoma sana.
 
Hahahahahashsh napitia comment za CCNP engineer nacheka sana aisee hahahahahahahahahahahahahahahahahahahah

Mara sijui kaokota nywele saluni

Mara anapiga punyeto

Mara sijui kajamba

Mara sijui kadindisha kinyama hahahahahah

Daah CCNP ENGINEER FULL COMEDY BWAJAHAHAHAHHAHAH

Ila jamaa nampa salute ya kubutua AAA PLUS
 
Back
Top Bottom