Battle: Kati ya Mbeya, Dodoma, Arusha, Tanga na Iringa

Battle: Kati ya Mbeya, Dodoma, Arusha, Tanga na Iringa

Lakini mbeya kuna fursa nyingi za kibiashara na uchumi kuliko huko loliondo(arusha)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
GDP ya Mbeya imebebwa na mkoa wa songwe wilaya ya Chunya.na tunduma ebu ikate Mbeya na songwe kwenye GDP uone
 
GDP ya Mbeya imebebwa na mkoa wa songwe wilaya ya Chunya.na tunduma ebu ikate Mbeya na songwe kwenye GDP uone
Acha uzushi ww em kaangalie list ya majiji yaliyoongoza mwaka jana kimapato kati ya top 3 huyo arusha jiji hayupo, na mbeya jiji ilikuwa namba moja, hapa naongelea jiji kama jiji sijaongelea mkoa mzima wa mbeya[emoji23].

Bado hamuijui Tz zunguken jamn, na mkimaliza kuzunguka someni sana, hii nchi isingekuwa na siasa za kishenzi, mkoa wa mbeya ungefunika takataka zote hizo za akina mwanza na arusha[emoji23][emoji23].

Huu ndio ukwel mchungu
 
GDP ya Mbeya imebebwa na mkoa wa songwe wilaya ya Chunya.na tunduma ebu ikate Mbeya na songwe kwenye GDP uone
Nikusahihishe, Mbeya hailimi mchele, Chunya ni miungoni mwa wilaya ya Mkoa wa Mbeya ikiwa na ndugu zake wa karibu wilaya ya Mbeya vijijini na wilaya ya Mbarali.
 
Acha uzushi ww em kaangalie list ya majiji yaliyoongoza mwaka jana kimapato kati ya top 3 huyo arusha jiji hayupo, na mbeya jiji ilikuwa namba moja, hapa naongelea jiji kama jiji sijaongelea mkoa mzima wa mbeya[emoji23].

Bado hamuijui Tz zunguken jamn, na mkimaliza kuzunguka someni sana, hii nchi isingekuwa na siasa za kishenzi, mkoa wa mbeya ungefunika takataka zote hizo za akina mwanza na arusha[emoji23][emoji23].

Huu ndio ukwel mchungu
Jinga la mwisho yaani hilo dampo la mbeya ndio ulinganishe na Mwanza? Hakika hizo pombe zenu za ulanzi zinawamaliza IQ kabisaa.
 
Acha uzushi ww em kaangalie list ya majiji yaliyoongoza mwaka jana kimapato kati ya top 3 huyo arusha jiji hayupo, na mbeya jiji ilikuwa namba moja, hapa naongelea jiji kama jiji sijaongelea mkoa mzima wa mbeya[emoji23].

Bado hamuijui Tz zunguken jamn, na mkimaliza kuzunguka someni sana, hii nchi isingekuwa na siasa za kishenzi, mkoa wa mbeya ungefunika takataka zote hizo za akina mwanza na arusha[emoji23][emoji23].

Huu ndio ukwel mchungu
Huyu naye sijui unaongea nini ..wewe unazungumzia mapato gani ,ya tamisemi au TRA then mm nasemea GDP we unaleta nn ..hata ukija halmashauri ,.. huwezi kupima ubora wa jiji kwa kuangalia mapato ya halmashauri ..as mapato hubadilika kila robo ya mwaka kutegemea management ya halmashauri,vyanzo vya mapato na idadi ya walipakodi wasio na usumbufu ...
Ukija mapato ya TRA bado mbeya hampo kwenye top 3 ..
 
Mkuu arusha ukiacha wazungu wanaoenda kushangaa ngamia na punda huko ngorongoro pamoja na jamii maonesho ya waadzabe na masai kuna nini cha ajabu au vijana wafuga rasta wanaopumuliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Arusha wanauza maua nje ya nchi
 
Unaelewa uchumi wewe au unaleta porojo kufurahisha genge, mapato ya TRA ndio yanadetermine uchumi wa sehemu husika, hivi huwa mnaenda shule kuimba mashairi na kucheza ngonjera?
wewe ndiyo popoma na ushamba wenu pamoja na wivu
 
Kwenye Google Earth Mwanza na Arusha zinaonekana kama ziko sawa kiukubwa.
 
Sasa utabishaje wakati kumbe hujaangalia.
We umetumia vipimo vya Google Earth ..ambapo ndani ya Google Earth Hamna vipimo vya ukubwa wa miji ...unless distance ya kutoka eneo moja hadi jingine
 
Back
Top Bottom