binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hahahaha weni ze oldi wichi izi baki wati du tu ekspecti ledha zani spriding wizadri pawa.hahahaaa
Afta 30 deyzi ovu fastingi zeni shi izi baki ini ze woridi ovi sinsi hahahaha so jokiizi tu sa GODI shua.
Wayi bekozi shi prosidingi hetingi pipo endi hetingi izi wani ovu ze sosi ai mini rutisi ovu sinsi hahahahah
Yakhe njoo upate kidogo kikombe cha kahawaa ..we wasusa wenzio twalaa!
Et nitafurahi n shoo halafu izi afrimam zina nichanganya sn zipo mbili kuna ile ya marekani n za Nigeria cjajua km mdhamini anakuwa huyo huyo mmoja
Mkuu me nakuelewa sana...sana maana ili CHIBU ajiakikishie ushindi wa tuzo zote 6,ilibidi tusigawanyike yani TEAMONDI NA TEAMKIBA wote tumuunge mondi mkono na ili hili lifanikiwe inabidi TEAMMONDI pia waungane na TEAMKIBA kumpigia kiba naye achukue ile moja...huku kwa pamoja pia tukiungana kuwapigia waTZ wengine ambapo MONDI NA KIBA hawapo na kwa namna hii ndo njia pekee ya kuzipata izi tuzo zote hapa TZ,tatizo teamondi wanajikuta sana...pasipo kupima nguvu ya upande wa TEAMKIBA ambao kwa hakika naamini MONDI alikuwa na uwezo wa kupata zile tuzo zote tatu za MTV's MAMA lakini kwa mpasuko huuhuu ulifanya jamaa arudi na tuzo moja tu home na kwa hakika kabisa kura za TEAMKIBA alizopigiwa davido ndo zimemzidi MONDI na kupelekea davido kuchukua ile BEST MALE wakati wote kwa pamoja tungemuunga mkono Mondi lazima tu angepata zote tatu amini usiamini na hilo wazo la TEAMMONDI kusema eti MONDI anamashabiki hadi nje ya TZ hivyo lazima atashinda tu ni kitu kisicho chakuamini sana na wachukulie mfano mmoja tu mbona hakuchukua zote za MTV's.???,kwani hao mshabiki wa nje kawapata leo hii????,teamondi wakubali wakatae nguvu ya TEAMKIBA imemdhuru MONDI kwenye MTV's MAMA,Na huo ndo ukweli halisi.kwa hiyo TEAMMONDI wachague wapate tuzo 6 kati ya zile 7 kwa kuungana na support ya TEAMKIBA uku nao wakimpigia KIBA ili apate ile moja pia AU Wasiungane na TEAMKIBA kumwezesha KIBA kupata iyo moja na wao wapate mbili au tatu kati ya zile 7.
-MY TAKE:Kuzuia hili lisitokee tena kwa Mara nyingine "WE HAVE TO PLAY THE GAME OF THE BENEFIT FOR OUR NATION"...tween these two bongofleva gangsters i.e KIBA & MONDI.
Uzuri wa wanaoandaa hizi TUNZO si bora liende USHINDI WA KURA UNA NAFASI WA 30% NA WA MAJAJI NI 70% HII INA MAANA KWAMBA KUNA VITU MAJAJI WANAJIRIDHISHA ZAIDI YA KURA UTAKAYOPIGA.
Acha uongo wewe embu tuletee link ya AFRIMMA ya NIGERIA fasta,maana hiyo hapo juu nimeweka mwenyewe ukiweza nenda kwenye "ABOUT US"...usome biography yao,sawaaa???
Hao jamaa ni watu wabaya sana...kumbuka walimshindanisha KIBA na shilole wakati uyo shilole hajawai ata kuwa nominated kwenye KTMA tu,Mara sasaivi waseme mrisho mmpoto...bhasi tu ili mradi wana wayawaya kiukweli wanajisumbua "IT'S ONLY A MATTER OF A TIME NEEDED FOR THE KING TO PROVE THEM WRONG!!!
Duh! We jamaa naona una utani na Kiba... yaani wamekutana wapi wakati mmoja amekuwa nominated kwenye SINGLE category na mwingine SIX different categories zinazomuhusu yeye moja kwa moja na ya saba aliyoshirikishwa??!! Sema jamaa kana-improve, from KTMA to AFRIMMA East Africa Category!!!!
Tupe ata screenshots tu tuamini mzee,vinginevyo wewe ni muongo tu kama waongo wengine.
hahahahahaaaaa yaani kibba hana kick ya kollabo na msanii wa nje na bado watu wameona kwamba kuna kitu ndani yake....kawanyooshe baba maana they are stubborn...na wanajifanya hawajui thaman yako in bf industry...huwezi mfananisha nyerere na kikwete ever..
moja kama ya Hadija Kopa na Ommy dimpoz....wale ndio saiz yake aache kujilinganisha na mtabe Mondi Bin Laden
Dah! Inawezekana kweli wamekutana lakini mmoja amekuwa nominated in 6 categories, mwingine kwenye single category...Mkuu Sijakuelewa ujue kwani kitendo cha wao kuwekwa kwenye category moja yani "BEST MALE ARTISTE EASTAFRICA"...sasa hapo siwamekutana au umeelewaje labda?
kwa kigezo gani hadi kuwa kwwnye hiyo tuzo??? bora wangemuweka hata Rich Mavoko
Wameona kuna kitu ndani yake wapi? East Africa? Angalau angekuwa nominated Best Male Africa ungeleta hizo mbwembwe... lakini kubwa kuliko yote, ndugu... wewe wa wapi wewe usiyefahamu maana ya collabo? Hivi huoni hata hao wasanii wakubwa wanatafuta collabo kwa ajili ya kujitanua? There's no way, kwa mfano, unaweza kuingia soko la Angola bila kufanya collabo na Msanii kutoka Angola unless uwe tayari upo juu dizaini za akina P Square! Hivi huoni akina DonaldInDenial wanapotafuta collabo na mt kama Diamond kwa ajili ya kupenya East Afrika? Usije ukajidanganya ukadhani huyo Kiba hazitaki hizo collabo... na yeye anazitaka sema hajazipata!! Achaneni na mawazo ya Ndondo Cup... think Big... think how to cross boundaries badala ya kufurahia sifa za kijinga ambazo hata huyo Kiba mwenyewe hazipendi! Haya mambo mengine msiwe mnaongea mbele za watu waungwana...Hahahahahaaaaa yaani Kibba hana kick ya kollabo na msanii wa nje na bado watu wameona kwamba kuna kitu ndani yake....kawanyooshe baba maana they are stubborn...na wanajifanya hawajui thaman yako in BF industry...huwezi mfananisha NYERERE na KIKWETE ever..
Ndugu yangu... status ya King Kiba na Quuen Khadija ni moja kwa kuwa wakati King ni Best Male East Africa nominee, Queen yeye ni Best Female East Africa Nomineee... yaani wote wanapigani nomination ile ile lakini Status ya Ommy Dimple, hata kama ni Chipukizi, ni kubwa kuliko category ya King na Queen kwa kuwa Ommy ni Africa na sio huku East Africa! Hebu mpe shikamoo Ommy Dimple....Hahaahaaa!.. Mkuu naona unatamani ilo lakini wanaojua kama hao AFRIMMA wamemuita kiba BEST MALE NOMINEE,na huyo Ommy ni chipukizi,kopa yeye ni best female...na sio kama ulivyotaka wewe wawe sawa...Damn!!!
Hahaahaaa!.. Mkuu naona unatamani ilo lakini wanaojua kama hao AFRIMMA wamemuita kiba BEST MALE NOMINEE,na huyo Ommy ni chipukizi,kopa yeye ni best female...na sio kama ulivyotaka wewe wawe sawa...Damn!!!
Kwahiyo mkongwe anayechipukia nae kavuka boda this tym duh!
best male wallah tunabeba cc hatuna category nyingi wala tuzo cc ni hapo nikiamka ni hapo na my best artist in africa wizkidayo
show me the money na johny zimeshinda itaweza ntampata wapi et best song haya #show me the money
N yule yule tena mswahili wa waswahili, kijana from tandale.....let's vote!!!
Kimbley, Dinazarde, Heaven on Earth, Kim nana, mzurimie, Eshy m.s, jMali, dwoxye, Kidingi, BansenBurner.. Vote vote vote