Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Ndugu acha kuteta UJINGA you're self...maana kwa watu wanaojua haya mambo wanakushangaa...ni hivi kila aliyekuwepo kwenye category yoyote ile ana sifa na anavigezo vya kuwa mshindi sasa unaposema kiba hapewi sijui wewe ndo judge?...na unaposema CHIBU ana 7 na zote atapata inamaana hao wenzie kwenye hizo categories majina yao hayaonekani linaonekana lakwake tu ama??,kama ni kupata zote angepata za MTV's sasa...mbona kapata moja kati ya nomination 3 tu???,then unajihakikishia eti tayari ni zakwake ameshashinda,tena kwa maneno kama haya yako ndo yanawagawa waTZ ambao ni TEAMKIBA waanze kupigia wapinzani wa Mondi kwa categories ambazo kiba hayupo wakati inawezekana kabisa kumpigia Mondi ili zote zije home.
point #obo badest well explained mi c mpigii tena bora nimpigie wizy hizo category nyingne nyambaafu
 
Kiba ndo hvyo sasa kashatoboa bila colabo la mnaijeria, yani pure bongo flavor, walisema kiba hadhi yake ni tuzo za kTMA sasa mfalme kakasirika kaamua awapandie kavu kavu na chekecha bila kolabo sasa je hiyo mwezi wa 11 colabo la king na Wizkid likitoka si ndio mtahama nchi, pigeni kelele na mayowe yote King ndo hvyo sasa kaamua kuwafata huko huko sijui mtalia tena mmehujumiwa Hahahaha, alafu mpaka sasa katika category aliyopo king yeye ndio anaongoza kwa kura ndani ya masaa 18 ana kura laki moja akifatiwa kwa mbali sana na Eddy kenzo wa Uganda alafu Diamond yeye wa tatu wamefungana na Dynamiq wa south sudan mpaka sasa teteteteh Hahahaha

#Rockstar4000presents

Sasa huyu kiba alifanya kolabo n wiz kid lini :what: nackia ile kolabo n bella mnadaiwa studio bado hajalipa
 
Mkuu hao AFRIMMA wanajua wanachofanya na hawajakosea hapo maana dimpoz ameanza kutoka na NAINAI kwenye mwaka 2011 ivi,so almost ni kama miaka minne ivi imepita kutokea ilipotoka na kujulikana,haya tumuangalie Mondi ameanza kutoka na "nenda kamwambie" mwaka 2010 lakini mwaka Jana(2014) kwenye TUZO alizopata za channel O-Africa...moja ilikuwa ni ya "best upcoming artiste".. Je walikosea na hao channel O???..maana jamaa nae amepata iyo tuzo wakati akiwa na miaka minne nae Kwenye bongofleva.

Kila tuzo n utaratibu wke mbona MTV walimuweka diamond,best upcoming 2010 n mbagala
 
Naona mondi ana vipengele 6 na watz wengine ni moja moja tu
 
Hilo halina ubishi,Halafu kwenye Msanii chipukizi tumpigie Kiss DANIEL wa Naijeria jamaa anatisha kinyama,Dimpozz simpigii hata kwa kitanzi na unafiki ule
Ha ha ha hapa ndo lesson sasa mtu anapowakilisha nchi basi tueke ushabiki kando, okay okay director wa video kura zangu kwa godfather #kirohombaya
 
Hahahaha weni ze oldi wichi izi baki wati du tu ekspecti ledha zani spriding wizadri pawa.hahahaaa

Afta 30 deyzi ovu fastingi zeni shi izi baki ini ze woridi ovi sinsi hahahaha so jokiizi tu sa GODI shua.

Wayi bekozi shi prosidingi hetingi pipo endi hetingi izi wani ovu ze sosi ai mini rutisi ovu sinsi hahahahah

Yakhe njoo upate kidogo kikombe cha kahawaa ..we wasusa wenzio twalaa!
 
Jamen,there is somthng wrong kwenye hiz nominations,me nafikir kimataifa Alikiba should be considered kama underground,coz Ommydimpoz Yuko kimataifa kuliko Kiba..?!.
 
Ni kweli lakini mjue Naseeb tayari ana fans wengine wengi outside tanzania kwa sababu ameshatengeneza jina so ni kukubali tu na kuhamasishana katika haya mawili
1. Watu wampigie kura aly tena kwa bidii ya ajabu ili tuzo ije home

Au

2. Watu wampigie kura Naseeb na aly ili tukose

Ingawa pia kwa advantage Naseeb aliyonayo tukiwapigia wote plus fans wa nje anaweza kupata.
Lakini pia katika hizo category 7 alizoingia hawezi rudi mikono mitupu hilo ni tumaini tulilonalo la uhakika

Mkuu me nakuelewa sana...sana maana ili CHIBU ajiakikishie ushindi wa tuzo zote 6,ilibidi tusigawanyike yani TEAMONDI NA TEAMKIBA wote tumuunge mondi mkono na ili hili lifanikiwe inabidi TEAMMONDI pia waungane na TEAMKIBA kumpigia kiba naye achukue ile moja...huku kwa pamoja pia tukiungana kuwapigia waTZ wengine ambapo MONDI NA KIBA hawapo na kwa namna hii ndo njia pekee ya kuzipata izi tuzo zote hapa TZ,tatizo teamondi wanajikuta sana...pasipo kupima nguvu ya upande wa TEAMKIBA ambao kwa hakika naamini MONDI alikuwa na uwezo wa kupata zile tuzo zote tatu za MTV's MAMA lakini kwa mpasuko huuhuu ulifanya jamaa arudi na tuzo moja tu home na kwa hakika kabisa kura za TEAMKIBA alizopigiwa davido ndo zimemzidi MONDI na kupelekea davido kuchukua ile BEST MALE wakati wote kwa pamoja tungemuunga mkono Mondi lazima tu angepata zote tatu amini usiamini na hilo wazo la TEAMMONDI kusema eti MONDI anamashabiki hadi nje ya TZ hivyo lazima atashinda tu ni kitu kisicho chakuamini sana na wachukulie mfano mmoja tu mbona hakuchukua zote za MTV's.???,kwani hao mshabiki wa nje kawapata leo hii????,teamondi wakubali wakatae nguvu ya TEAMKIBA imemdhuru MONDI kwenye MTV's MAMA,Na huo ndo ukweli halisi.kwa hiyo TEAMMONDI wachague wapate tuzo 6 kati ya zile 7 kwa kuungana na support ya TEAMKIBA uku nao wakimpigia KIBA ili apate ile moja pia AU Wasiungane na TEAMKIBA kumwezesha KIBA kupata iyo moja na wao wapate mbili au tatu kati ya zile 7.
-MY TAKE:Kuzuia hili lisitokee tena kwa Mara nyingine "WE HAVE TO PLAY THE GAME OF THE BENEFIT FOR OUR NATION"...tween these two bongofleva gangsters i.e KIBA & MONDI.
 
Mkuu me nakuelewa sana...sana maana ili CHIBU ajiakikishie ushindi wa tuzo zote 6,ilibidi tusigawanyike yani TEAMONDI NA TEAMKIBA wote tumuunge mondi mkono na ili hili lifanikiwe inabidi TEAMMONDI pia waungane na TEAMKIBA kumpigia kiba naye achukue ile moja...huku kwa pamoja pia tukiungana kuwapigia waTZ wengine ambapo MONDI NA KIBA hawapo na kwa namna hii ndo njia pekee ya kuzipata izi tuzo zote hapa TZ,tatizo teamondi wanajikuta sana...pasipo kupima nguvu ya upande wa TEAMKIBA ambao kwa hakika naamini MONDI alikuwa na uwezo wa kupata zile tuzo zote tatu za MTV's MAMA lakini kwa mpasuko huuhuu ulifanya jamaa arudi na tuzo moja tu home na kwa hakika kabisa kura za TEAMKIBA alizopigiwa davido ndo zimemzidi MONDI na kupelekea davido kuchukua ile BEST MALE wakati wote kwa pamoja tungemuunga mkono Mondi lazima tu angepata zote tatu amini usiamini na hilo wazo la TEAMMONDI kusema eti MONDI anamashabiki hadi nje ya TZ hivyo lazima atashinda tu ni kitu kisicho chakuamini sana na wachukulie mfano mmoja tu mbona hakuchukua zote za MTV's.???,kwani hao mshabiki wa nje kawapata leo hii????,teamondi wakubali wakatae nguvu ya TEAMKIBA imemdhuru MONDI kwenye MTV's MAMA,Na huo ndo ukweli halisi.kwa hiyo TEAMMONDI wachague wapate tuzo 6 kati ya zile 7 kwa kuungana na support ya TEAMKIBA uku nao wakimpigia KIBA ili apate ile moja pia AU Wasiungane na TEAMKIBA kumwezesha KIBA kupata iyo moja na wao wapate mbili au tatu kati ya zile 7.
-MY TAKE:Kuzuia hili lisitokee tena kwa Mara nyingine "WE HAVE TO PLAY THE GAME OF THE BENEFIT FOR OUR NATION"...tween these two bongofleva gangsters i.e KIBA & MONDI.

Mkuu hizo tuzo za nje majaji wana asilimia 70%,suala la uwingi wa kura halipo kabisa katika kupata mshindi!kama ulikua unafatilia vizuri kwenye MTV mama Jose chameleon ndio alikua anaongoza kwa uwingi wa kura kwenye ile category yao!mbona hajashinda??

Kura tunazopiga sisi zina asilimia 30% tu,kwenye tuzo hizo za nje kura hazimati sana zaidi ya kazi na uwekezaji wako katika mziki.
 
Kiba oyeeeee BEST MALE halina ubishiii.
Hahahaaaa walijivuna sana ooohh saizi ya kiba ni kill hahahaaaa hatareeeee lazma mlale mkiwa mmesimama....
Nyimbo mbili tuu zimewatoa jasho ivyo vipi akiweka na ya tatuu?
K 4 real

Hao jamaa ni watu wabaya sana...kumbuka walimshindanisha KIBA na shilole wakati uyo shilole hajawai ata kuwa nominated kwenye KTMA tu,Mara sasaivi waseme mrisho mmpoto...bhasi tu ili mradi wana wayawaya kiukweli wanajisumbua "IT'S ONLY A MATTER OF A TIME NEEDED FOR THE KING TO PROVE THEM WRONG!!!
 
Kama umeona mtv basi hapa huta tumia nguvu sanaaa kuumiza kichwa ni nani anachukuwa..mtu anawezaje kuchaguliwa mara sita afu ashindwe kuitetea tuzo ambayo anamiliki nyumbani kwake so hiyo mwenyew anajulikan

Sawa bhana yote kheri...ngoja sie tuvote then we gonna see the end of this,nadhani tatizo kubwa ni kwamba sisi waTZ tumezoea kuishi kwa mazoea!!!
 
Hahahaha weni ze oldi wichi izi baki wati du tu ekspecti ledha zani spriding wizadri pawa.hahahaaa

Afta 30 deyzi ovu fastingi zeni shi izi baki ini ze woridi ovi sinsi hahahaha so jokiizi tu sa GODI shua.

Wayi bekozi shi prosidingi hetingi pipo endi hetingi izi wani ovu ze sosi ai mini rutisi ovu sinsi hahahahah

Yakhe njoo upate kidogo kikombe cha kahawaa ..we wasusa wenzio twalaa!
Koh koh koh undersandn't you?
 
In the presence of dynamq from south Sudan kiba has no chance to win

Kwanza wewe jamaa futa ile KAULI yako ulivyosemaga kule kwenye Uzi wetu wa kiba then ndo usikilizwe sawaaa???,ulimwambiaga mwenzio kidingi "kiba apate nomination kwenye TUZO ZA KIMATAIFA kwa nyimbo gani anazoimba",Hahaahaaa!..it's so funny b'coz he has proven u hater!!!
 
Kwanza wewe jamaa futa ile KAULI yako ulivyosemaga kule kwenye Uzi wetu wa kiba then ndo usikilizwe sawaaa???,ulimwambiaga mwenzio kidingi "kiba apate nomination kwenye TUZO ZA KIMATAIFA kwa nyimbo gani anazoimba",Hahaahaaa!..it's so funny b'coz he has proven u hater!!!

Okey kiba kaingia kwny nomition ila hajaingiza nyimbo
 
Sema best male east hata peter msechu aliingia kabla ya kiba last year akatusaidia kubeba tuzo yetu tutamtuma kiba atuchukulie pia tuzo😀😀😀😀

Tupe ata screenshots tu tuamini mzee,vinginevyo wewe ni muongo tu kama waongo wengine.
 
Back
Top Bottom