Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

We jamaa nilichokugundua hauko kwa lenngo la kuelimisha uko kwa jili ya ligi ..ngoja niendlee na mwanangu Cha Asubuh
 
Ah wapi, mnakariri. Arusha yote tunajua dar na sisi ndio mji. Mwanza tunajua ni mji wa washamba tu.
Hakuna sentensi yako hata moja ambayo haina neno mshamba, utakuwa na inferiority complex syndrome, jiangalie na uchukue hatua.
 
Hayo majengo yenu yakifahari ndio tunayataka humu.
 
We jamaa nilichokugundua hauko kwa lenngo la kuelimisha uko kwa jili ya ligi ..ngoja niendlee na mwanangu Cha Asubuh
Me huniwez na wala hamtaniweza, kwani hapa tunaelimishana na nini yaani jiji la Mwanza liige nini hapo Arusha, na hapa wote tupo kwaajili ya ligi kama haupo kwaajili ya battle umekuja kutafuta nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…