KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Hana anachojua pengine ypo mondule ndo Unaona anabisha bila fact yoyote Bora mwanangu Control Quality anajitutumuaBBC ndo anatoa kibali Cha mji kuwa Jiji. Jitathimini basi. Akili ya kubishana unayo kweli au unaropoka tu. What is BCC by the way?
Hana anachojua pengine ypo mondule ndo Unaona anabisha bila fact yoyote Bora mwanangu Control Quality anajitutumuaBBC ndo anatoa kibali Cha mji kuwa Jiji. Jitathimini basi. Akili ya kubishana unayo kweli au unaropoka tu. What is BCC by the way?
Swali Arusha Kuna starehe Gani? Jibu TU at mbiliHahah Yani Hadi watu wanaelewa Chugamaica namna ilivoView attachment 2587968
Si unaona now kwao ushoga fashion,bangi fashion,unga fashion ugolo fashion halafu wanatania ya kunya bila kutawaza hasa wamasai,,pia kuoga kwao sio lazima wanakwambia baridi sjui watu wa njombe na ruvuma wasemajeWanajiona wajanja kuharibu kiswahili chetu utasikia "swagaree", "Arushamaica", n.k halafu eti kwa ujinga huu watakuambia Wana tone ya kimataifa. Hizi bangi zinadanganya akili usipime.
Arusha kuna conflict of interest jiji ni wilaya moja tu lakini linaikalisha mwanza, wakiongeza wilaya nyingine je? 🤣Jiji mwanza imepewa 2000 kipind hjazaliwa lakin Arusha mmpewa 2010 rasimi,, pia mwanza Ina contain ilemela,nyamagana na Kwa Sasa imechukua magu na misungwi Sasa utalinganisha na mji Kam Arusha imegawanyika mjini na kijijini yaan Arusha mjini na Arusha kijijini?
Hivi brother neno Ushoga mbona limekukaa kooni?! Kwa mwanaume halisi kama mimi na wenzangu kulitamka neno shoga enywe naona kinyaa au aibu wewe unapata wapi ujasiri wakutamka mara nyingi hivo ilihali wewe ni mwanaume,Uanaume wako nautilia mashakaSi unaona now kwao ushoga fashion,bangi fashion,unga fashion ugolo fashion halafu wanatania ya kunya bila kutawaza hasa wamasai,,pia kuoga kwao sio lazima wanakwambia baridi sjui watu wa njombe na ruvuma wasemaje
Unajifariji Lete detail za area covered,population,GDP, na sio porojo zako kisa umekula ugoloArusha kuna conflict of interest jiji ni wilaya moja tu lakini linaikalisha mwanza, wakiongeza wilaya nyingine je? 🤣
Shida huko mnasapot na mnapenda mno bro ni aibuHivi brother neno Ushoga mbona limekukaa kooni?! Kwa mwanaume halisi kama mimi na wenzangu kulitamka neno shoga enywe naona kinyaa au aibu wewe unapata wapi ujasiri wakutamka mara nyingi hivo ilihali wewe ni mwanaume,Uanaume wako nautilia mashaka
Watasema Ni Brussels.[emoji116][emoji12][emoji12]Watakwambia 5 star hotel ni grand Malia tu..haha Arusha 5 star hotel zipo nyingi nyinyi wasukumaView attachment 2588428
Arusha mna kitu kama hiki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787]Mwanza Kuna kitu kama hichi?!View attachment 2589133
Kapambane na dodoma kwanza ndio mje mwanza[emoji116]Nyumbani kwa mijengooView attachment 2589597
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Arusha tumewacha mbali sana vijanaKapambane na dodoma kwanza ndio mje mwanza[emoji116]View attachment 2589620
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmewaacha mbali kina mbeya na Tanga .. [emoji91][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Arusha tumewacha mbali sana vijana