Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

BBC ndo anatoa kibali Cha mji kuwa Jiji. Jitathimini basi. Akili ya kubishana unayo kweli au unaropoka tu. What is BCC by the way?
Hana anachojua pengine ypo mondule ndo Unaona anabisha bila fact yoyote Bora mwanangu Control Quality anajitutumua
 
Quality Control njoo tule Bata Mzee baba
Screenshot_20230405-192108~2.jpg
 
Wanajiona wajanja kuharibu kiswahili chetu utasikia "swagaree", "Arushamaica", n.k halafu eti kwa ujinga huu watakuambia Wana tone ya kimataifa. Hizi bangi zinadanganya akili usipime.
 
Wanajiona wajanja kuharibu kiswahili chetu utasikia "swagaree", "Arushamaica", n.k halafu eti kwa ujinga huu watakuambia Wana tone ya kimataifa. Hizi bangi zinadanganya akili usipime.
Si unaona now kwao ushoga fashion,bangi fashion,unga fashion ugolo fashion halafu wanatania ya kunya bila kutawaza hasa wamasai,,pia kuoga kwao sio lazima wanakwambia baridi sjui watu wa njombe na ruvuma wasemaje
 
Jiji mwanza imepewa 2000 kipind hjazaliwa lakin Arusha mmpewa 2010 rasimi,, pia mwanza Ina contain ilemela,nyamagana na Kwa Sasa imechukua magu na misungwi Sasa utalinganisha na mji Kam Arusha imegawanyika mjini na kijijini yaan Arusha mjini na Arusha kijijini?
Arusha kuna conflict of interest jiji ni wilaya moja tu lakini linaikalisha mwanza, wakiongeza wilaya nyingine je? 🤣
 
Si unaona now kwao ushoga fashion,bangi fashion,unga fashion ugolo fashion halafu wanatania ya kunya bila kutawaza hasa wamasai,,pia kuoga kwao sio lazima wanakwambia baridi sjui watu wa njombe na ruvuma wasemaje
Hivi brother neno Ushoga mbona limekukaa kooni?! Kwa mwanaume halisi kama mimi na wenzangu kulitamka neno shoga enywe naona kinyaa au aibu wewe unapata wapi ujasiri wakutamka mara nyingi hivo ilihali wewe ni mwanaume,Uanaume wako nautilia mashaka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vijana wa arusha bado wanajipima kifua kwa MWANZA?
 
Arusha kuna conflict of interest jiji ni wilaya moja tu lakini linaikalisha mwanza, wakiongeza wilaya nyingine je? 🤣
Unajifariji Lete detail za area covered,population,GDP, na sio porojo zako kisa umekula ugolo
 
Hivi brother neno Ushoga mbona limekukaa kooni?! Kwa mwanaume halisi kama mimi na wenzangu kulitamka neno shoga enywe naona kinyaa au aibu wewe unapata wapi ujasiri wakutamka mara nyingi hivo ilihali wewe ni mwanaume,Uanaume wako nautilia mashaka
Shida huko mnasapot na mnapenda mno bro ni aibu
 
Back
Top Bottom