Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Vyeti feki bila shaka, alitelezea Ganda la ndizi kuingia kwenye ajira, Mzee kamla kichwa.
 
Me nilishamzoea sana huwa naenda naye kama anavyotaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ huyu mtu huitaji kupanic kwake ni kumpeleka kulingana na akili yake ni mwendo wa kumpimia kadri ya uwezo wake.
 
Jengo lenyewe baya af mpo kwny plan wakat mwanza tumejenga jengo la kisasa la mwauwasa tena kwa mapato ya ndan miaka 5 iliyopita๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Eti baya ๐Ÿ˜๐Ÿ˜.Wewe ndio Kipimo Cha jango zuri?

Nyundo nyingine hii hapa kutoka chuga lazima muombe poo๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • 20221125_193930.jpg
    597.2 KB · Views: 12
Nyie Machokoraa leteni nyumba Kali Kama hii huko kwenye Kijiji chenu Cha wavuvi ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ

Go Arusha go to the peak ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • wakala_wa_majengo_tz_1669522997353532.mp4
    21 MB
Unamchanganya Dalali wa viwanja Dom [emoji13][emoji13][emoji13]
Bado mnashindana na Arusha?.

Arusha Technical๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • subiramgalu_1669547178681807.jpg
    98.9 KB · Views: 16
  • subiramgalu_1669547178681102.jpg
    154.9 KB · Views: 12
  • subiramgalu_1669547178682457.jpg
    39.4 KB · Views: 17
Bado mnashindana na Arusha?.

Arusha Technical๐Ÿ‘‡
Kuwa na akili basi hata kidogo, unaleta picha ya jengo Moja Moja tukisema wewe limbukeni utakataa?. Jengo lenyewe ghorofa tatu na halina structure yoyote unique. Kweli inabidi tukuvumilie tu maana kichwa yako Ina dosari mahala.
 
Kuwa na akili basi hata kidogo, unaleta picha ya jengo Moja Moja tukisema wewe limbukeni utakataa?. Jengo lenyewe ghorofa tatu na halina structure yoyote unique. Kweli inabidi tukuvumilie tu maana kichwa yako Ina dosari mahala.
La Mwanza Liko wapi?๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ