Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Huyu tatizo lake alipigwa na uncle Magu na kitu kizito kwa nyuma hivyo akamchukia uncle Magu na kanda ya ziwa yote. Yupo tayari kushabikia Mogadishu na Kisimayu ila siyo Mwanza au kanda ya ziwa. Huwa nafikiria sana ni kitu gani Uncle Magu alimfanyia huyu jamaa hadi akajenga chuki kiasi hicho. Huyu jamaa ni dizaini ya wanawake ambao wakitoswa na njemba zao wanachukia ukoo mzima wa hiyo njemba utadhani alikuwa anapigwa miti na ukoo mzima.
Vyeti feki bila shaka, alitelezea Ganda la ndizi kuingia kwenye ajira, Mzee kamla kichwa.
 
Huyu tatizo lake alipigwa na uncle Magu na kitu kizito kwa nyuma hivyo akamchukia uncle Magu na kanda ya ziwa yote. Yupo tayari kushabikia Mogadishu na Kisimayu ila siyo Mwanza au kanda ya ziwa. Huwa nafikiria sana ni kitu gani Uncle Magu alimfanyia huyu jamaa hadi akajenga chuki kiasi hicho. Huyu jamaa ni dizaini ya wanawake ambao wakitoswa na njemba zao wanachukia ukoo mzima wa hiyo njemba utadhani alikuwa anapigwa miti na ukoo mzima.
Me nilishamzoea sana huwa naenda naye kama anavyotaka😂😂😂 huyu mtu huitaji kupanic kwake ni kumpeleka kulingana na akili yake ni mwendo wa kumpimia kadri ya uwezo wake.
 
Aliliwa kichwa
Wakati mkiendelea kujazana upumbavu naendelea kuwapa nyundo za Utosini kutoka Arusha..

Mapovu ruksa,AUWSA HQ 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221120-143809.png
    Screenshot_20221120-143809.png
    159 KB · Views: 15
  • 20221120_143756.jpg
    20221120_143756.jpg
    367.4 KB · Views: 17
  • 20221120_143754.jpg
    20221120_143754.jpg
    448 KB · Views: 18
Jengo lenyewe baya af mpo kwny plan wakat mwanza tumejenga jengo la kisasa la mwauwasa tena kwa mapato ya ndan miaka 5 iliyopita😄😄😄
Eti baya 😁😁.Wewe ndio Kipimo Cha jango zuri?

Nyundo nyingine hii hapa kutoka chuga lazima muombe poo👇
 

Attachments

  • 20221125_193930.jpg
    20221125_193930.jpg
    597.2 KB · Views: 12
Huyu tatizo lake alipigwa na uncle Magu na kitu kizito kwa nyuma hivyo akamchukia uncle Magu na kanda ya ziwa yote. Yupo tayari kushabikia Mogadishu na Kisimayu ila siyo Mwanza au kanda ya ziwa. Huwa nafikiria sana ni kitu gani Uncle Magu alimfanyia huyu jamaa hadi akajenga chuki kiasi hicho. Huyu jamaa ni dizaini ya wanawake ambao wakitoswa na njemba zao wanachukia ukoo mzima wa hiyo njemba utadhani alikuwa anapigwa miti na ukoo mzima.
Nyie Machokoraa leteni nyumba Kali Kama hii huko kwenye Kijiji chenu Cha wavuvi 😜😜

Go Arusha go to the peak 👇
 

Attachments

  • wakala_wa_majengo_tz_1669522997353532.mp4
    21 MB
Unamchanganya Dalali wa viwanja Dom [emoji13][emoji13][emoji13]
Bado mnashindana na Arusha?.

Arusha Technical👇
 

Attachments

  • subiramgalu_1669547178681807.jpg
    subiramgalu_1669547178681807.jpg
    98.9 KB · Views: 16
  • subiramgalu_1669547178681102.jpg
    subiramgalu_1669547178681102.jpg
    154.9 KB · Views: 12
  • subiramgalu_1669547178682457.jpg
    subiramgalu_1669547178682457.jpg
    39.4 KB · Views: 17
Bado mnashindana na Arusha?.

Arusha Technical👇
Kuwa na akili basi hata kidogo, unaleta picha ya jengo Moja Moja tukisema wewe limbukeni utakataa?. Jengo lenyewe ghorofa tatu na halina structure yoyote unique. Kweli inabidi tukuvumilie tu maana kichwa yako Ina dosari mahala.
 
Kuwa na akili basi hata kidogo, unaleta picha ya jengo Moja Moja tukisema wewe limbukeni utakataa?. Jengo lenyewe ghorofa tatu na halina structure yoyote unique. Kweli inabidi tukuvumilie tu maana kichwa yako Ina dosari mahala.
La Mwanza Liko wapi?😜😜
 
Back
Top Bottom