ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vikao vya Kimataifa 🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤸🤸Nini kigeni hapa au kuona wadau wa utalii wakifanya kikao arusha, mbona mwanza kuna vikao vya kimataifa vinavyowakutanisha wafanyabiashara wakubwa hapa dunia lakini huwa tunaona kawaida tu.
Mara ngapi pale rock city kuna kuwa na maonesha ya kimataifa ya nchi mbalimbali za Asia na Europe.Vikao vya Kimataifa 🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤸🤸
Kama kawaida Mwanza imekalishwa na Arusha 😁😁Mara ngapi pale rock city kuna kuwa na maonesha ya kimataifa ya nchi mbalimbali za Asia na Europe.
Furahia viwanda vya miji ya watu, wapi mbeya?Kama kawaida Mwanza imekalishwa na Arusha 😁😁
Hawa wachina sio bure wamekuja na jambo lao
Kwamba unadhan hhayo Majengo Arusha hamna ya watu binafsi?Hivyo vijengo vya hela ya mbuzi kama hivyo huku Mwanza huwa zinajengwa na watu binafsi.[emoji116][emoji116]
View attachment 2626688
Acha kujitia ujinga eti sio bure wamekuna na jambo lao😂😂😂😂 ndio maana nakuambia kwa akili zeni hizi mtakuja kulingana akili na mbuzi, watu wanakuja kubeba twiga na wanyama pori unasema wana jambo lao.Hawa wachina sio bure wamekuja na jambo lao
Leta majengo ya watu binafsi hapo arusha 10f, 90% ya majengo ya cbd ya arusha ni NHC na mashirika ya uma, 1% ndio mabanda yenuKwamba unadhan hhayo Majengo Arusha hamna ya watu binafsi?
Kumbe na wewe umeona kama vile Mwanza imetengwa, kila mradi wa mwanza serikali wapo bize kutafuta pesa lakini miradi ya mikoa mingine hasa Dar na dodoma pesa huwa ipo tayari....Nashukuru sana kwa kulijua hilo ndugu PASUA KICHWA.Mwaka wa 3 huu nimesikia mradi mmja tuu wa Barabara huko Mwanza is Slum 🤪🤪
Nyie si mliwatenga wenzenu,zamu yenu imefika Sasa 🤪🤪🤪🤪Kumbe na wewe umeona kama vile Mwanza imetengwa, kila mradi wa mwanza serikali wapo bize kutafuta pesa lakini miradi ya mikoa mingine hasa Dar na dodoma pesa huwa ipo tayari....Nashukuru sana kwa kulijua hilo ndugu PASUA KICHWA.
Kipindi cha yule ngosha alipeleka miradi sehemu zote mkuu, lakini naona kwasasa miradi Mwanza imekata kabisaa utadhani tuna ugomvi na serikali.Nyie si mliwatenga wenzenu,zamu yenu imefika Sasa 🤪🤪🤪🤪View attachment 2627273
Mbeya alipeleka nini? Kajengo ka hospital?Kipindi cha yule ngosha alipeleka miradi sehemu zote mkuu, lakini naona kwasasa miradi Mwanza imekata kabisaa utadhani tuna ugomvi na serikali.
Njombe mlipewa kila kitu, mbeya ilichangamka, mahospitali na barabara za mitaa pamoja na kumalizia jengo la airport na ujenzi wa maghorofa ya halmshauri na wakuu wa wilaya pamoja na.... Vingi sana.Mbeya alipeleka nini? Kajengo ka hospital?
Hii niliwahi kusema mwanza vikao vikubwa hufanyika lakin tunaona normal kabisa hat watu wa arusha vikao vinafanuika wanaona Norma tatizo lipo Kwa hili senge la NJOMBE linapost adi viazi vya kuchoma yaan Kila kitu linaona ni fantastic sjui Kwa kuwa vitu kama hivo kusini hamna na mambo yalichelewa sana kuleNini kigeni hapa au kuona wadau wa utalii wakifanya kikao arusha, mbona mwanza kuna vikao vya kimataifa vinavyowakutanisha wafanyabiashara wakubwa hapa dunia lakini huwa tunaona kawaida tu.
Sio maneno yangu ni choice variable👇👇Usikute unafananisha na jengo la ngurdoto hilo sio brother
Leta majengo ya watu binafsi hapo arusha 10f, 90% ya majengo ya cbd ya arusha ni NHC na mashirika ya uma, 1% ndio mabanda yenu
Hili la kwanza