Mkuu wapi hapa? Najua ni Mwanza ila mitaa gani?
KwatunzaMkuu wapi hapa? Najua ni Mwanza ila mitaa gani?
Vipi kuhusu pwani na arusha ? Au arusha nae kapotezwa na ki pwani
Pwani ana enjoy ukaribu na Dar na Kwa taarifa Yako huo Mkoa unaenda kufutwa Kwa kuundwa Mkoa Mpya wa Rufiji na pia Baadhi ya Wilaya za Pwani kuwa Dar.Vipi kuhusu pwani na arusha ? Au arusha nae kapotezwa na ki pwani
Kwa iyo pwani na arusha bora wapi?Pwani ana enjoy ukaribu na Dar na Kwa taarifa Yako huo Mkoa unaenda kufutwa Kwa kuundwa Mkoa Mpya wa Rufiji na pia Baadhi ya Wilaya za Pwani kuwa Dar.
Mnatia huruma sana ππ
Miaka ijayo Pwani itakuwa game changerKwa iyo pwani na arusha bora wapi?
Labda airport ya dodoma sio hicho kidubwanaMnatia huruma sana ππ
Here is Arusha Airport π π
View: https://youtu.be/zI5KpSNZfx8?si=jD9F8i2iIS5AMe5M
Wivu π π π πLabda airport ya dodoma sio hicho kidubwana
Arusha iizidi mwanza kwa jambo gani?.ukitoka arusha mjini kwenda kwa morombo umeimaliza,ukitoka Arusha mjini kwenda Tanapa pale majengo umeimaliza,ukitoka arusha mjini kwenda Tengeru umeimaliza,kule muriet ni kama uko vijijini kabisa,acheni Rock City kuilinganisha na walima bangi wa Arumeru nyieDuh! Hapo sasa itabid nikubaliene na mawazo yenu... maana sion mchangiaj hata mmoja aliyesema arusha inaizid mwanza
Kwani Ukubwa wa Mwanza ni nini zaidi ya mkusanyoko wa mafukara? Kuna kingine?Arusha iizidi mwanza kwa jambo gani?.ukitoka arusha mjini kwenda kwa morombo umeimaliza,ukitoka Arusha mjini kwenda Tanapa pale majengo umeimaliza,ukitoka arusha mjini kwenda Tengeru umeimaliza,kule muriet ni kama uko vijijini kabisa,acheni Rock City kuilinganisha na walima bangi wa Arumeru nyie
Hebu tuonyeshe mkoa usiokua na mafukara tanzania hiiKwani Ukubwa wa Mwanza ni nini zaidi ya mkusanyoko wa mafukara? Kuna kingine?