lusekelo ephraim
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 306
- 234
Mwanza amna kitu kule hebu tuambie kitu gani unique kilichopo kule ukianzia majengo marefu hoteli kali na kumbi kubwa za starehe, Mwanza ni mji uliojaa washamba tuHii Arusha hua ni kuikuza kuza hakuna lolote...mimi ninafanya kazi hapa Arusha mwaka wa tisa sasa na nyumbani kwangu ni Mwanza,maelezo mengi wala hayasaidii nitajichosha bure, Arusha mnaikuza bure tu haina la kutisha sana,kila kukicha mnaongelea watalii ambao wakishuka wanapotelea huko Karatu,Ngorongoro na Serengeti,Arusha ni mikwara tu mzee ni ya kawaida na inaziwa kwa 80% na Mwanza
Huwezi kunidanganya lolote kuhusu mwanza...naifahamu mwanza mwanzo mwisho..nimeingia mwanza mwaka 1999....mwanza ni mji wa matukio..matajiri wa mwanza 50% ni majambazi wa kutumia siraha..uvuvi na madini wengi wao wamejificha huko....maisha ya mwanza ni ya hovyoo..japo wenyewe wanakuambia ni mepesi.....ukiachilia dar....Mwanza city gallery ndio tanzania wewe na ndio maana wanaiita city gallery
hapo mimi nakataa ndugu yangu huenda uliingia na kutoka kimsingi haruaha haiwezi kuikuta mwanza hata kwa kitu kimoja labda hali ya hewa tu bas...mwanza ipo juu kaka na ndio maana tumeweka na ref ka isa hapo ...kwamba inaanza Dar inakuja MwanzaHuwezi kunidanganya lolote kuhusu mwanza...naifahamu mwanza mwanzo mwisho..nimeingia mwanza mwaka 1999....mwanza ni mji wa matukio..matajiri wa mwanza 50% ni majambazi wa kutumia siraha..uvuvi na madini wengi wao wamejificha huko....maisha ya mwanza ni ya hovyoo..japo wenyewe wanakuambia ni mepesi.....
Arusha nimeishi kbsa...yan napajua kila kona, sina shangazi chugawewe itakua ulivokuja Arusha ulifikia kwa shangazi🤣
wanaosema Arusha kali kuizidi mwanza wanafurahisha tu midomo yao...ila ukweli wanaujua....Mwanza ni kali sana ...Arusha ikasome kwanza ndio ije kushindanishwa na jiji la mapichapichaArusha nimeishi kbsa...yan napajua kila kona, sina shangazi chuga
Wa Mwanzawe ni magu gani tena🤣🤣
kona gani 🤣🤣Arusha nimeishi kbsa...yan napajua kila kona, sina shangazi chuga
kijiji cha kuua albino na vikongwe 🤣🤣Yaani Mwanza ulingalishe na kijiji cha wavuta bhangi wa Arusha!! Hebu achani utopolo basi wakuu!!
mwambie uyo ngosha🤣🤣waswahili wanasema mkataa kwao mtumwa...sasa bhana Gtax usije ukawa unaisifia sana mwanza kwakuwa ni nyumbani kama ulivyosema mwenyewe.
.unaambiwa Arusha ni nusu ya uingereza kwa maelezo ya watu
🤣🤣umemuwezakijiji cha kuua albino na vikongwe 🤣🤣
Mwanza inakaribiana na Dar kwa kila kitu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani hajapata jibu?
Mwanza sio ya kuilinganisha na vimji vya ajabu ajabu kama Arusha.
Mwanza inakimbizana na Dar kwenye kila kitu, miundombinu, mapato, wingi wa watu, uchangamfu, starehe, watoto wazuri, vyuo, nk. Muwe mnasoma hata takwimu/taarifa za serikali zinatolewa kila mara kuonyesha Mwanza is untouchable.
Arusha ilinganisheni na Kahama ama Musoma sio Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
Kwan Dar kuna nini cha ajabu??Mwanza inakaribiana na Dar kwa kila kitu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]