Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Kwan Dar kuna nini cha ajabu??
Hujafika Dar hata ukielezwa tu ni kupoteza muda. Yaani jiji linalochangia uchumi wa nchi kwa zaidi ya 12% ulinganishe na takataka zingine ambazo bado zinashughulika na imani za kishirikina za kukata mikono albino na kuwaua vikongwe wenye macho mekundu?

Dar ndiyo Tanzania kila kitu kinachohusu nchi kipo Dar.

Bandari kuu inayolisha nchi zaidi ya 6,kitovu kikuu cha biashara,matajiri wote wakubwa wanaishi Dar,miundombinu ya kisasa kama mabasi ya mwendokasi na flyovers zinapatikana Dar pekee.

Uwanja wa ndege wa kimataifa ambao unaunganisha nchi yetu na mataifa mbalimbali ya ulimwengu,uwanja mkubwa wa mpira sio ccm kirumba kama wa manungu mtibwa.

Serikali imehamia Dodoma lakini viongozi wakuu kutwa hawabanduki Dar kwasababu ndo jiji kuu la nchi.

Idadi ya watu inazidi 6 milioni na kwa sensa ijayo mwakani matarajio ni watu zaidi ya milioni 9 ambayo inakimbiliana na majiji kama Cairo,Lagos ama London.

Wilaya zote za Dar zina hadhi ya manispaa tofauti na Mwanza manispaa zipo mbili tu Ilemela na Nyamagana.

Nimekufungua ubongo angalau mengine utajazia mwenyewe.
 
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.

Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.

Karibuni mchangie

Hivi unawezaje kufanànisha Mwanza na Arusha? Arusha inaachwa na Mwanza by far , yaani Kama unalinganisha hii miji inawezekana hujawahi popote kati ya hapo . Yaani pale Arusha kuna nini kwa mfano tuseme ni Woow factor. Hata ukiangalia kwenye ukusanyaji wa mapato na kuendelea kwa mji, mwanza ipo mbali sana . Nadhan Arusha ilinganishwe na DODOAM ya sasa
Na mwanza ifananishwe na Dar
 
Hii Arusha hua ni kuikuza kuza hakuna lolote...mimi ninafanya kazi hapa Arusha mwaka wa tisa sasa na nyumbani kwangu ni Mwanza,maelezo mengi wala hayasaidii nitajichosha bure, Arusha mnaikuza bure tu haina la kutisha sana,kila kukicha mnaongelea watalii ambao wakishuka wanapotelea huko Karatu,Ngorongoro na Serengeti,Arusha ni mikwara tu mzee ni ya kawaida na inaziwa kwa 80% na Mwanza
Onyesha vitu kama hivi hapo Mwanza kubwa la maskini.

Arusha 👇

3040462_3038285_E8vvsMGWQAQVjDx.jpeg


3041858_images_-_2021-12-21T134627.882.jpeg


3039408_IMG_2340.jpg


3039400_image_downloader_1639921525024.jpg


3035557_Screenshot_20211031-194727_1.jpg
 
Hivi unawezaje kufanànisha Mwanza na Arusha? Arusha inaachwa na Mwanza by far , yaani Kama unalinganisha hii miji inawezekana hujawahi popote kati ya hapo . Yaani pale Arusha kuna nini kwa mfano tuseme ni Woow factor. Hata ukiangalia kwenye ukusanyaji wa mapato na kuendelea kwa mji, mwanza ipo mbali sana . Nadhan Arusha ilinganishwe na DODOAM ya sasa
Na mwanza ifananishwe na Dar
Onyesha barabara hata moja kama hizi hapo Mwanza

Arusha👇

3038946_2998829_IMG_6057.jpg


3034491_1769045_DdsvXNjVwAIurET.jpg
 
Opportunity cost kwenye ubora wako,ongeza na picha na miji ya miami, weka na render nyingine, hater namba moja wa Mwanza na kanda ya ziwa.
 
Hujafika Dar hata ukielezwa tu ni kupoteza muda. Yaani jiji linalochangia uchumi wa nchi kwa zaidi ya 12% ulinganishe na takataka zingine ambazo bado zinashughulika na imani za kishirikina za kukata mikono albino na kuwaua vikongwe wenye macho mekundu?

Dar ndiyo Tanzania kila kitu kinachohusu nchi kipo Dar.

Bandari kuu inayolisha nchi zaidi ya 6,kitovu kikuu cha biashara,matajiri wote wakubwa wanaishi Dar,miundombinu ya kisasa kama mabasi ya mwendokasi na flyovers zinapatikana Dar pekee.

Uwanja wa ndege wa kimataifa ambao unaunganisha nchi yetu na mataifa mbalimbali ya ulimwengu,uwanja mkubwa wa mpira sio ccm kirumba kama wa manungu mtibwa.

Serikali imehamia Dodoma lakini viongozi wakuu kutwa hawabanduki Dar kwasababu ndo jiji kuu la nchi.

Idadi ya watu inazidi 6 milioni na kwa sensa ijayo mwakani matarajio ni watu zaidi ya milioni 9 ambayo inakimbiliana na majiji kama Cairo,Lagos ama London.

Wilaya zote za Dar zina hadhi ya manispaa tofauti na Mwanza manispaa zipo mbili tu Ilemela na Nyamagana.

Nimekufungua ubongo angalau mengine utajazia mwenyewe.
pamoja na ayo yoooote ila Arusha bado itasubir sana kwa Mwanza
 
Arusha noma mpaka inafananishwa na Miami [emoji123][emoji123]
hata ikifananishwa na na jimbo gan lakin ki ukweli kabisa Arusha haiwezi kuifikoa Mwanza hata kidogo.....!! Dar ndio tanzania sasa mwanza inakaribiana na dar
 
hata ikifananishwa na na jimbo gan lakin ki ukweli kabisa Arusha haiwezi kuifikoa Mwanza hata kidogo.....!! Dar ndio tanzania sasa mwanza inakaribiana na dar
😄😄😄😄😄 Mtaendelea kujifariji Sana baada ya kichapo.

Ukipata road kama hii huko Mwanza city of loosers uni tag .

Arusha 👇

3038946_2998829_IMG_6057.jpg


3034491_1769045_DdsvXNjVwAIurET.jpg
 
pamoja na ayo yoooote ila Arusha bado itasubir sana kwa Mwanza
Hayo mie hayanihusu kwasasa. Nazungumzia jiji langu lakuzaliwa kutokana na mdau hapo juu kuuliza kwamba Dar kuna nini hasa.
 
Arusha inavitu vingi zaidi kuifanya iwepo juu zaidi kuliko Mwanza.

Ingawa kwa kipindi cha mwendazake pamoja na Covid vimeuathiri sana huo mji.

Kuwepo kwa hospitality& accommodation ya level ya kimataifa.

Uwepo wa vyuo vikuu vingi zaidi.

Upande wa huduma za afya, sidhan kama mwanza waisogekea arusha.

Uwepo wa makao makuu ya EAC, na Ofisi za kimataifa na NGO

Level za nyumba za makazi kwa Arusha zipo vizuri zaidi kuliko mwanza.

Kuhusu bata nadhani hakuna ubishi kwa machalii
Miundombinu bado sana kulinganisha na umaarufu wa jiji la Arusha.
Nadhani hilo jiji litazamwe na kupewa kipaumbele cha miundombinu hasa ya barabara.

Kuhusu usafi,Arusha kunatia aibu sijui mvua ikipiga huwa kunakuwaje.

Kwa ubora bado Arusha ni nafuu zaidi kuliko Mwanza.
 
Arusha inavitu vingi zaidi kuifanya iwepo juu zaidi kuliko Mwanza.

Ingawa kwa kipindi cha mwendazake pamoja na Covid vimeuathiri sana huo mji.

Kuwepo kwa hospitality& accommodation ya level ya kimataifa.

Uwepo wa vyuo vikuu vingi zaidi.

Upande wa huduma za afya, sidhan kama mwanza waisogekea arusha.

Uwepo wa makao makuu ya EAC, na Ofisi za kimataifa na NGO

Level za nyumba za makazi kwa Arusha zipo vizuri zaidi kuliko mwanza.

Kuhusu bata nadhani hakuna ubishi kwa machalii
Miundombinu bado sana kulinganisha na umaarufu wa jiji la Arusha.
Nadhani hilo jiji litazamwe na kupewa kipaumbele cha miundombinu hasa ya barabara.

Kuhusu usafi,Arusha kunatia aibu sijui mvua ikipiga huwa kunakuwaje.

Kwa ubora bado Arusha ni nafuu zaidi kuliko Mwanza.
hii mada inatakiwa aje mtu na vielelezo vya kutosha ili kushawishi watubwaamini kama Arusha ni zaidi ya mwanza ...ila mi sitaki kabisa kuamin kama Arusha inaizid mwanza
 
Mwanza ni mji wa kishamba sana, hakuna ata vitu vya maana ndio maan co-orporate companies wanaanzia Dar na Arusha. Never Mwanza, ushamba ushamba tu umejaa. Watu wa Mwanza wenyewe wakishatoka huwa hawana hamu tena na mji wao. Kwa sisi tunaoyafahamu hayo majiji, Arusha ni way more developed advanced, size sio issue. HAKUNA KIJANA WA KISASA ANATAKA KWENDA MWANZA!! Jiulize. Hakuna maajabu.
 
Mwanza ni mji wa kishamba sana, hakuna ata vitu vya maana ndio maan co-orporate companies wanaanzia Dar na Arusha. Never Mwanza, ushamba ushamba tu umejaa. Watu wa Mwanza wenyewe wakishatoka huwa hawana hamu tena na mji wao. Kwa sisi tunaoyafahamu hayo majiji, Arusha ni way more developed advanced, size sio issue. HAKUNA KIJANA WA KISASA ANATAKA KWENDA MWANZA!! Jiulize. Hakuna maajabu.
sitaki kuamini sana juu ya unachokiongea sababu mimi Arusha sijafika ila mwanza naijua.....sasa endapo Arusha itaizid Mwanza basi maana yake itakuwa inafanana na Dar sasa...maana kwa nilivyoiona tu mwanza ..kwakweli Mwanza napo mjon sana ...sasa kama vile ilivyo wewe unaiona mji wa kishamba bas huo mji wa kijanja utakuwa unafanana na dar
 
sitaki kuamini sana juu ya unachokiongea sababu mimi Arusha sijafika ila mwanza naijua.....sasa endapo Arusha itaizid Mwanza basi maana yake itakuwa inafanana na Dar sasa...maana kwa nilivyoiona tu mwanza ..kwakweli Mwanza napo mjon sana ...sasa kama vile ilivyo wewe unaiona mji wa kishamba bas huo mji wa kijanja utakuwa unafanana na dar
Of course , Arusha ni kama Dar kasoro size tu. Na kuna mengine inaizidi Dar by the way!! usikariri. Mwanza i have been there. Ni ushamba ushamba tu. Hakuna la maana. Mji mzima rock city mall eti ndio kila kitu. Yani.
 
Of course , Arusha ni kama Dar kasoro size tu. Na kuna mengine inaizidi Dar by the way!! usikariri. Mwanza i have been there. Ni ushamba ushamba tu. Hakuna la maana. Mji mzima rock city mall eti ndio kila kitu. Yani.
duh ....! ebu jaribu kuingia youtube andika mandhali ya jiji la mwanza uone moto wake
 
Takataka, napajua hakuna maajabu yoyote bana, yani Mwanza ni a BIG VILLAGE, hakuna dalili za umjinimjini, bookshops tu vitabu vilivyopo utacheka, unaweza ukatafuta bacon mwanza nzima ukakosa. bado sana yani hakuna maujanja, kwanza mtu wa mwanza ana exposure ndogo sana na ulimwengu wa nje.
duh ....! ebu jaribu kuingia youtube andika mandhali ya jiji la mwanza uone moto wake
 
Back
Top Bottom