Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

captain mimi siongei kishabiki na wala sio mtu wa mwanza, mi kwetu mbeya na naishi mbeya....sema mwanza imeitangulia Arusha kwa miaka isiyopungua mitano kutangazwa kuwa jiji. mwanza imetangazwa kuwa jiji 2000 wakati Arusha 2006 kimsingi ilishaipiga gape miaka mingi tu, pia mwanza nimeiona haina tofauti kubwa sana na Dar ki ukwel kabisa mwanza ni mjin tukiachilia mbali ushabiki....vyuo hata mwanza vipo, miundo mbinu ya barabara, majengo marefu, huduma za usafir majin na nchi kavu nk ....mwanza mjin sana
Wewe ni kituko,huwezi weka ushahidi unaleta porojo.Kutangulia kwa watu wengi sawa ila kutangulia kwingine ni kupi labda?
 
Mjadala uishi hapa
SOURCE-Wikipedia

IMG_20211226_075023.jpg
 
Alaa kwa hiyo wewe tuu ndio umefanya Kazi hapo Arusha? Hayo maendeleo makubwa yako wapi?

Kupiga domo mko vizuri sana ila sasa ukiambiwa onyesha hayo maendeleo unapotea..

Hiyo Arusha ni zaidi ya Utalii,kuna viwanda hadi vya kutengeneza transformers,kitovu cha mbegu na utafiti wa teknolojia za kisasa za kilimo,taasisi za elimu nk.

Ukikuta vitu kama hivi hapa huko Mwanza ni tag

View attachment 2057005

View attachment 2057006

View attachment 2057007

View attachment 2057008

View attachment 2057009

View attachment 2057010

View attachment 2057011

View attachment 2057012

View attachment 2057013

View attachment 2057014

View attachment 2057016

View attachment 2057017

View attachment 2057018

View attachment 2057019

View attachment 2057020

View attachment 2057021

View attachment 2057022

View attachment 2057023

Ni ubishi wako tu , ila Mtu yoyote mwenye Akili ,Arusha hakuna chochote cha Maana , na hakuna unachoweza kufanya kikakulipa. Labda pombe na Bangi .

Kufananisha Arusha na Mwanza ni sawa na wale wanaolazimisha kufananisha Diamond na Kiba

Endelea kuamini katika ujinga wako

Kila la heri
 
Mjadala uishi hapa
SOURCE-Wikipedia

View attachment 2057734
kwani mada inaongelea mji gani wenye idadi kubwa ya watu???
manake kama ni watu dar ina population kuliko los angles kinshasa ina watu wengi kuliko london
je repute yake ikoje
mwanza inachoizidi Arusha ni wingi wankuzaliana tu mkuu😂😂
tena population yake haiko diverse inazidiwa foreign community hata na moshi😢
 
Ni ubishi wako tu , ila Mtu yoyote mwenye Akili ,Arusha hakuna chochote cha Maana , na hakuna unachoweza kufanya kikakulipa. Labda pombe na Bangi .

Kufananisha Arusha na Mwanza ni sawa na wale wanaolazimisha kufananisha Diamond na Kiba

Endelea kuamini katika ujinga wako

Kila la heri
Wewe huna cha kuonyesha unapigwa za uso..Nimeisha Arusha na Mwanza najua kila kitu sio ishu ya kuamini ni ishu facts zilizopo.

Mumepigwa na Arusha kuanzia majengo, viwanda hadi miundombinu ya barabara,na wewe unajua ila muamba ngoma 😁😁
 
washamba sana hawa jamaa wanakuambia Arusha ni utalii tu hawajui ni makao makuu ya eac na tanapa
vyuo vya kimataifa kama Nelson Mandela na esami
Arusha kuna viwanda hadi vya kuassemble magari wao wamekalia tu uko ziwani na umaskini wao kutwa kujilinganisha na Arusha[emoji22]
Nimecheka kumbe mtoa mada ni mtu wa mwanza anaitwa cleokippo kumbe kafungua thread ili ajifariji maskini[emoji23][emoji23]
alafu na uzwazwa wake badala asikilize hoja anajibu kwa ushabiki tena wa ziwani fool[emoji41]

Mjomba unatumia nguvu sana duh , ww utakuwa na fantasy , yaani unabisha bisha bila uhalisia. Arusha na Mwqnza zote ni Tanzania , nimekusoma kama vile utetezi wako ni wa kikabila na sio analysisi , ndio maana unatuma tuma mapicha mengi na akili yako umeifunga kama sandwich [emoji3053], huruhusu kitu kipya kiingie? I am doubting pia elimu yako. Unatumia nguvu sana but it is simple there is no way ukaifananisha mwanza Na Arusha , sitokei mwanza wala Arusha , Bali nimeishi mikoa yote hiyo , Arusha hakuna Ishu yoyote na wala it is not good place for investment as compared to mwanza.

Hoja zako ni za kipuuzi , eti kuna ofisi kubwa, sijui magari yanakuwa assembled sijui nini , ndio nini sasa , hata Rwanda ina assemble magari , je unawezaa kuilinganisha na TZ ? Tumia akili yako kwa kufikiri na uache ushabiki wa kipogolo.
 
captain mimi siongei kishabiki na wala sio mtu wa mwanza, mi kwetu mbeya na naishi mbeya....sema mwanza imeitangulia Arusha kwa miaka isiyopungua mitano kutangazwa kuwa jiji. mwanza imetangazwa kuwa jiji 2000 wakati Arusha 2006 kimsingi ilishaipiga gape miaka mingi tu, pia mwanza nimeiona haina tofauti kubwa sana na Dar ki ukwel kabisa mwanza ni mjin tukiachilia mbali ushabiki....vyuo hata mwanza vipo, miundo mbinu ya barabara, majengo marefu, huduma za usafir majin na nchi kavu nk ....mwanza mjin sana
maana ya kuleta mada ni nini kama mwanza imeizidi arusha kila kitu????
kutangazwa kuwa jiji mostly ni ishu ya population mbona hata mbeya na tanga zimetangulia kuwa jiji kabla ya Arusha ambayo kimsingi huangaliwa kwa mipaka ya jiji Arusha ilikua na ukubwa wa sqkm 93 tu kwenye sensa ya mwaka 2012 wakati mwanza sensa ilihesabu ukubwa wa kmsq 422 ukijumlisha nyamagana na ilemela yote
hadi Arusha walipoongeza eneo ndio wakaruhusiwa kuwa jiji
so pokea comments za kuhusu hayo uliyoyaeleza uone nan zaidi
 
Mjomba unatumia nguvu sana duh , ww utakuwa na fantasy , yaani unabisha bisha bila uhalisia. Arusha na Mwqnza zote ni Tanzania , nimekusoma kama vile utetezi wako ni wa kikabila na sio analysisi , ndio maana unatuma tuma mapicha mengi na akili yako umeifunga kama sandwich [emoji3053], huruhusu kitu kipya kiingie? I am doubting pia elimu yako. Unatumia nguvu sana but it is simple there is no way ukaifananisha mwanza Na Arusha , sitokei mwanza wala Arusha , Bali nimeishi mikoa yote hiyo , Arusha hakuna Ishu yoyote na wala it is not good place for investment as compared to mwanza.

Hoja zako ni za kipuuzi , eti kuna ofisi kubwa, sijui magari yanakuwa assembled sijui nini , ndio nini sasa , hata Rwanda ina assemble magari , je unawezaa kuilinganisha na TZ ? Tumia akili yako kwa kufikiri na uache ushabiki wa kipogolo.
mbona povu kubwa hivo😂😂
unavoskia makao makuu ya eac sio tu ofisi ngosha unaongelea bunge la afrika mashariki na wabunge wao wote wanalala Arusha , unaongelea mahakama ,unaongelea sekretariet yote kuna staff zaidi ya 2000 na bado wana plans za kujenga nyumba za watumishi and you still call that hoja ya kipuuzi hivi wewe unajielewa kwanza 😢
 
captain mimi siongei kishabiki na wala sio mtu wa mwanza, mi kwetu mbeya na naishi mbeya....sema mwanza imeitangulia Arusha kwa miaka isiyopungua mitano kutangazwa kuwa jiji. mwanza imetangazwa kuwa jiji 2000 wakati Arusha 2006 kimsingi ilishaipiga gape miaka mingi tu, pia mwanza nimeiona haina tofauti kubwa sana na Dar ki ukwel kabisa mwanza ni mjin tukiachilia mbali ushabiki....vyuo hata mwanza vipo, miundo mbinu ya barabara, majengo marefu, huduma za usafir majin na nchi kavu nk ....mwanza mjin sana
Sasa Cleokippo ndugu yangu nlitaka nisiongeze neno lolote kwa majibu ya bwana mdazi
sasa hebu tuanze kushindanisha vyuo hivyo unavovisema na arusha
Nitajie majengo hayo marefu kwa uelewa wangu tu mwanza haina hata majengo kumi ya 10+ floors Arusha yako zaidi ya 20 na bado yanajengwa
kwa miundombinu na huduma za kijamii ndio usiseme Arusha ndio inaongoza kwa international schools barabara za kutoka mjini zaidi ya 4 mji wa kwanza kuwa na bypass mradi wa maji mkubwa na sewage system mji mzima mwanza mtaendelea kunywa maji meusi na ziwa mnalo hilo apo
 
Alaa kwa hiyo wewe tuu ndio umefanya Kazi hapo Arusha? Hayo maendeleo makubwa yako wapi?

Kupiga domo mko vizuri sana ila sasa ukiambiwa onyesha hayo maendeleo unapotea..

Hiyo Arusha ni zaidi ya Utalii,kuna viwanda hadi vya kutengeneza transformers,kitovu cha mbegu na utafiti wa teknolojia za kisasa za kilimo,taasisi za elimu nk.

Ukikuta vitu kama hivi hapa huko Mwanza ni tag

View attachment 2057005

View attachment 2057006

View attachment 2057007

View attachment 2057008

View attachment 2057009

View attachment 2057010

View attachment 2057011

View attachment 2057012

View attachment 2057013

View attachment 2057014

View attachment 2057016

View attachment 2057017

View attachment 2057018

View attachment 2057019

View attachment 2057020

View attachment 2057021

View attachment 2057022

View attachment 2057023
can i know how did you capture these
 
Sasa Cleokippo ndugu yangu nlitaka nisiongeze neno lolote kwa majibu ya bwana mdazi
sasa hebu tuanze kushindanisha vyuo hivyo unavovisema na arusha
Nitajie majengo hayo marefu kwa uelewa wangu tu mwanza haina hata majengo kumi ya 10+ floors Arusha yako zaidi ya 20 na bado yanajengwa
kwa miundombinu na huduma za kijamii ndio usiseme Arusha ndio inaongoza kwa international schools barabara za kutoka mjini zaidi ya 4 mji wa kwanza kuwa na bypass mradi wa maji mkubwa na sewage system mji mzima mwanza mtaendelea kunywa maji meusi na ziwa mnalo hilo apo
kupata jibu sahihi la kuishindanisha miji hii sio kitu rahis na sidhan kama mshindi atapatikana maana mpaka hivi sasa hakuna aliyeweza kuibuka na ushindi na mimi nilitegemea members wa jamiiforum ndio wangeweza kuamua
 
kwani mada inaongelea mji gani wenye idadi kubwa ya watu???
manake kama ni watu dar ina population kuliko los angles kinshasa ina watu wengi kuliko london
je repute yake ikoje
mwanza inachoizidi Arusha ni wingi wankuzaliana tu mkuu[emoji23][emoji23]
tena population yake haiko diverse inazidiwa foreign community hata na moshi[emoji22]
ngoja tuweke na mandhari ya mwanza kidogo muone moto wake .....maana kila mtu analalamika kwamba mwanza hawaweki vielelezo
Screenshot_20211226-020248_Gallery.jpg
 
Sasa Cleokippo ndugu yangu nlitaka nisiongeze neno lolote kwa majibu ya bwana mdazi
sasa hebu tuanze kushindanisha vyuo hivyo unavovisema na arusha
Nitajie majengo hayo marefu kwa uelewa wangu tu mwanza haina hata majengo kumi ya 10+ floors Arusha yako zaidi ya 20 na bado yanajengwa
kwa miundombinu na huduma za kijamii ndio usiseme Arusha ndio inaongoza kwa international schools barabara za kutoka mjini zaidi ya 4 mji wa kwanza kuwa na bypass mradi wa maji mkubwa na sewage system mji mzima mwanza mtaendelea kunywa maji meusi na ziwa mnalo hilo apo
captain ingia youtube kisha type mandhari ya jiji la mwanza kisha angalia balaa la mji wa hao wanaoitwa washamba.....kisha ingia tena youtube andika mandhari ya jiji la arusha uone pia hao wanaoitwa wajanja ...ukipata jibu uje na mrejesho umu jukwaan maana mimi video zote za Arusha na Mwanza ninazo ila nikitaka ku attach naambiwa file ni kubwa sana hivyo simu yangu haina uwezo wa ku upload lile file....ila kupitia video hz Mwanza mjin kwakwel
 
captain ingia youtube kisha type mandhari ya jiji la mwanza kisha angalia balaa la mji wa hao wanaoitwa washamba.....kisha ingia tena youtube andika mandhari ya jiji la arusha uone pia hao wanaoitwa wajanja ...ukipata jibu uje na mrejesho umu jukwaan maana mimi video zote za Arusha na Mwanza ninazo ila nikitaka ku attach naambiwa file ni kubwa sana hivyo simu yangu haina uwezo wa ku upload lile file....ila kupitia video hz Mwanza mjin kwakwel
Hakuna kitu hapo,wakishaweka kale kajengo ka nssf,ppf basi nothing else..

Arusha baby 👇

3012352_IMG_20211125_105337.jpg


3012350_IMG_20211125_105405.jpg


3012351_IMG_20211125_105350.jpg


3012348_IMG_20211125_105236.jpg


3012349_IMG_20211125_105219.jpg


3012345_IMG_20211125_105321.jpg


3012346_IMG_20211125_105302.jpg


3012344_IMG_20211125_105205.jpg


3039415_download2014.jpg


3039413_tapatalk_1544647526316.jpg


3039403_tapatalk_1544647487723.jpg
 
Mwanza ni mji wa kishamba sana, hakuna ata vitu vya maana ndio maan co-orporate companies wanaanzia Dar na Arusha. Never Mwanza, ushamba ushamba tu umejaa. Watu wa Mwanza wenyewe wakishatoka huwa hawana hamu tena na mji wao. Kwa sisi tunaoyafahamu hayo majiji, Arusha ni way more developed advanced, size sio issue. HAKUNA KIJANA WA KISASA ANATAKA KWENDA MWANZA!! Jiulize. Hakuna maajabu.
Wewe unaongelea Mwanza ya wapi shekhe? Nimecheka sana comment yako...ni uchafu
 
Back
Top Bottom