Mjomba unatumia nguvu sana duh , ww utakuwa na fantasy , yaani unabisha bisha bila uhalisia. Arusha na Mwqnza zote ni Tanzania , nimekusoma kama vile utetezi wako ni wa kikabila na sio analysisi , ndio maana unatuma tuma mapicha mengi na akili yako umeifunga kama sandwich [emoji3053], huruhusu kitu kipya kiingie? I am doubting pia elimu yako. Unatumia nguvu sana but it is simple there is no way ukaifananisha mwanza Na Arusha , sitokei mwanza wala Arusha , Bali nimeishi mikoa yote hiyo , Arusha hakuna Ishu yoyote na wala it is not good place for investment as compared to mwanza.
Hoja zako ni za kipuuzi , eti kuna ofisi kubwa, sijui magari yanakuwa assembled sijui nini , ndio nini sasa , hata Rwanda ina assemble magari , je unawezaa kuilinganisha na TZ ? Tumia akili yako kwa kufikiri na uache ushabiki wa kipogolo.