Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hii Arusha hua ni kuikuza kuza hakuna lolote...mimi ninafanya kazi hapa Arusha mwaka wa tisa sasa na nyumbani kwangu ni Mwanza,maelezo mengi wala hayasaidii nitajichosha bure, Arusha mnaikuza bure tu haina la kutisha sana,kila kukicha mnaongelea watalii ambao wakishuka wanapotelea huko Karatu,Ngorongoro na Serengeti,Arusha ni mikwara tu mzee ni ya kawaida na inaziwa kwa 80% na Mwanza
Mwanza amna kitu kule hebu tuambie kitu gani unique kilichopo kule ukianzia majengo marefu hoteli kali na kumbi kubwa za starehe, Mwanza ni mji uliojaa washamba tu
 
waswahili wanasema mkataa kwao mtumwa...sasa bhana Gtax usije ukawa unaisifia sana mwanza kwakuwa ni nyumbani kama ulivyosema mwenyewe.
.unaambiwa Arusha ni nusu ya uingereza kwa maelezo ya watu
takwimu hizo hapo
Screenshot_20211211-105404_Facebook.jpg
 
ukiachilia dar....Mwanza city gallery ndio tanzania wewe na ndio maana wanaiita city gallery
Huwezi kunidanganya lolote kuhusu mwanza...naifahamu mwanza mwanzo mwisho..nimeingia mwanza mwaka 1999....mwanza ni mji wa matukio..matajiri wa mwanza 50% ni majambazi wa kutumia siraha..uvuvi na madini wengi wao wamejificha huko....maisha ya mwanza ni ya hovyoo..japo wenyewe wanakuambia ni mepesi.....
 
Huwezi kunidanganya lolote kuhusu mwanza...naifahamu mwanza mwanzo mwisho..nimeingia mwanza mwaka 1999....mwanza ni mji wa matukio..matajiri wa mwanza 50% ni majambazi wa kutumia siraha..uvuvi na madini wengi wao wamejificha huko....maisha ya mwanza ni ya hovyoo..japo wenyewe wanakuambia ni mepesi.....
hapo mimi nakataa ndugu yangu huenda uliingia na kutoka kimsingi haruaha haiwezi kuikuta mwanza hata kwa kitu kimoja labda hali ya hewa tu bas...mwanza ipo juu kaka na ndio maana tumeweka na ref ka isa hapo ...kwamba inaanza Dar inakuja Mwanza
 
waswahili wanasema mkataa kwao mtumwa...sasa bhana Gtax usije ukawa unaisifia sana mwanza kwakuwa ni nyumbani kama ulivyosema mwenyewe.
.unaambiwa Arusha ni nusu ya uingereza kwa maelezo ya watu
mwambie uyo ngosha🤣🤣
 
Nani hajapata jibu?

Mwanza sio ya kuilinganisha na vimji vya ajabu ajabu kama Arusha.

Mwanza inakimbizana na Dar kwenye kila kitu, miundombinu, mapato, wingi wa watu, uchangamfu, starehe, watoto wazuri, vyuo, nk. Muwe mnasoma hata takwimu/taarifa za serikali zinatolewa kila mara kuonyesha Mwanza is untouchable.

Arusha ilinganisheni na Kahama ama Musoma sio Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
Mwanza inakaribiana na Dar kwa kila kitu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom