Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hata hospital ya mkoa ikizidi hii [emoji116] niite shangazi [emoji116]
 
Arusha nzima hili ndio gorofa lao la maana kidogo na lile la tecno zaidi ya hapo ni vijumba vya tembe vilipanda hewani.
Hayo ni majengo mawili tofauti,ona sasa ushaanza kupoteana
 
Huu ni mji wa kimataifa msilinganishe na hicho kijiji cha wavua dagaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…