Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

kupata jibu sahihi la kuishindanisha miji hii sio kitu rahis na sidhan kama mshindi atapatikana maana mpaka hivi sasa hakuna aliyeweza kuibuka na ushindi na mimi nilitegemea members wa jamiiforum ndio wangeweza kuamua
sasa hapo kidogo umeongea point
kila mji una uzuri wake na ubovu wake
ila haizuii ukweli kuwa kwa private sector investments Arusha iko mbali sana hata ilo jengo la hoteli apo ni la serikali hata rockcity mall pia mjengewe na serikali 🤣 ila truth be said mwanza mji flani local sana vile tu mkienda dar hamkutani na mji wowote wa maana hapo katikati kama Arusha ndio maana maneno mengi.
**Mkuu nlikuuliza kuhusu majengo marefu mwanza yenye zaidi hata ya ghorofa 10 kumi tu manake Arusha yako zaidi ya 20 hii imekaaje kiuwekezaji???
 
hapo kuna ile picha yako ya juu nlikuibia hatari sana
alafu tangu nakua naambiwa mwanza ya pili lakin nothing in there

 

Attachments

  • Screenshot_20211226-114024_Video Player.jpg
    14.1 KB · Views: 26
Watu wa mwanza mnachekesha na hizo picha za vivuko
like seriously mtu anatuma picha kama hii
kwamba na nyie mnamajengo eti
nshawaambia kwa majengo Arusha tumewaacha mbingu na ardhi kubalini tu
yani labda kwa hoja ya kuzaliana hapo ndio mnauhodari

 
Huo ndio ukweli japo unauma hata mfanyaje unganisheni na wale wenye shape kama funza mademu zao i mean Kilimanjaro ndo mnakuja kupata mwanza yaani uchukue ile KIA uwke arusha na stendi na mvae vizuri sio mamitumba na mashati makubwa
Wewe ni kituko,huwezi weka ushahidi unaleta porojo.Kutangulia kwa watu wengi sawa ila kutangulia kwingine ni kupi labda?
 
Huo ndio ukweli japo unauma hata mfanyaje unganisheni na wale wenye shape kama funza mademu zao i mean Kilimanjaro ndo mnakuja kupata mwanza yaani uchukue ile KIA uwke arusha na stendi na mvae vizuri sio mamitumba na mashati makubwa
Mnachoongoza nyie ni umaskini na kansa tuu 🤣🤣

 
Ngoja nikwambie mimi kwetu sio kwanza wala Arusha ila kote nimefika kwanza kupo mbele kila kitu ila wakazi wake hawana sifa sifa na wako bussy na mambo yao kuna machali wana pesa mbaya za kisukuma ila hata social media huwaoni

Ila hao waliooza meno na kuvaa manguo ya mitumb sifa kibao ubinafsi yaani chuga haikunivutia unapishana na watu town wananuka pombe mabangi manguo machafu harufu za viatu mademu ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…