The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
😂😂😂😂😂kaka! mimi nina fact na sio utopolo....sema shida sim ninayotumia storage yake ni 32gb na ram ya 3 nimejaribu sana ku upload ile video hapa ili muone The Rock city ilivyo lakini kwa bahati mbaya file limeonekana kuwa kubwa kuliko uwezo wa simu yangu....ila mngeona moto wa mwanza halafu ndio ungewaambia na wachangiaji wengine! mfano mtu aliyefika dar miaka 10 iliyopita halafu akawa haifuatiii kabisa dar leo hii ukimwambia dar kuna mabas ya mwendo kasi atabisha, ukimwambia dar kuna fly over atakataa, ukimwambia morogoro road kuna 8ways atakataa na mambo mengine mengi kuhusu dar atabisha sababu yeye aliacha dar ya kuingia mjin na vipanya nk kwaiyo hao wanaosema Arusha inaizid mwanza huenda waliondoka mwanza kabla hata bado haijatangazwa kuwa jiji lakin mwanza hii ya sasa ninayoiona mimi kwakwel Arusha inasubir