Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Haka kajengo kanatofauti gani na hostel za TIA pale buzuruga, jifunze kuona aibu na vitu vya kupost, ka hotel kama haka kanafaa ukiwa una battle na njombe mji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka kajengo kanatofauti gani na hostel za TIA pale buzuruga, jifunze kuona aibu na vitu vya kupost, ka hotel kama haka kanafaa ukiwa una battle na njombe mji.
Ulitaka kutuonesha vichaka vya miba au mapori ya nguchiro kuwa specific.
Ndio shebby huyu ila🤐🤐🤐Mtaa nao Kaa unguja Kuna mtu anamajina kama ayo Yako au ndo wewe
Uongeze maneno au domo tu, huna picha huna chochote huna sera, huna hoja bali umejaa viroja.Niongeze?
Hawa ni mapacha.Arusha Iringa ndio level yenu, ona panavyofanana[emoji116][emoji116]
Arusha View attachment 2533156
IringaView attachment 2533157
Huku Nature imetamalakiArusha, these gardens are well maintained View attachment 2533060View attachment 2533061
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hizo ghorofa zimesambaa kama vidole vya bata. Sasa we kwa akili yako unaweza fananisha njiro na capripoint? Yani kapripoint ndio mwisho wenu yani kwa ujanja wakati hakuna maajabu.🤣🤣🤣 mwanza kwa washamba na masikini haya sasa na hapa sio Capri point,isamilo,nyasaka,mwananchi,buswelu,nyamhongolo,kiseke,ilemela wala nyegezi majengo mapya
Watu wa Mwanza ni vile hatupendi kelele😄 kuna kijiji kinaitwa njiro kuna apartments hadi 30k
View attachment 2533161View attachment 2533165View attachment 2533172View attachment 2533173
Unalinganisha Manispaa ya watu laki 3 dhidi ya jiji lenye watu 1+milioni?Kilimanjaro imeipita mwanza kimkoa lakini kwa halmashauri ya moshi manispaa vs mwanza jiji moshi itasubiri miaka 2000
Kwamba Chuga mnaongea kingereza,Kifaransa na kispaniola kwenye viford vyenu muda wote [emoji23][emoji23][emoji23]Alafu hii tabia ya mwanza kuongea kilugha kwenye daladala mnatuaibisha bhana jiji au kijiji hicho
Jiji la hovyo limejaa uswazi na mavumbi na umaskini everywhereUnalinganisha Manispaa ya watu laki 3 dhidi ya jiji lenye watu 1+milioni?
Mwanza mtaogelea kwenye mavumbi snaa
Mzee nakupa miradi unaleta porojo 😂😂Waulize njiro wanavyokula vumbi kipindi hiki na wanavyokula tope kipindi Cha mvua. Tatizo lako hata Arusha hulijui unaokoteleza habari. Sisi tukija kwa mfumo huo utakimbia kwa mara nyingine. Tetea njombe na mikoa ya matakoni mwa Tanzania.
Njiro hakuna hata mtaa mmoja wenye makazi ya watu wenye lami. Ni aibu sana kwa jiji la Arusha. Hata alikohamia Gambo huko Njiro ni vumbi tupu na matopeWaulize njiro wanavyokula vumbi kipindi hiki na wanavyokula tope kipindi Cha mvua. Tatizo lako hata Arusha hulijui unaokoteleza habari. Sisi tukija kwa mfumo huo utakimbia kwa mara nyingine. Tetea njombe na mikoa ya matakoni mwa Tanzania.
[emoji1787][emoji1787] hapo sio Capri point ni bwiru moto wa Capri point anauweza masaki tu kwa hapa TanzaniaHizo ghorofa zimesambaa kama vidole vya bata. Sasa we kwa akili yako unaweza fananisha njiro na capripoint? Yani kapripoint ndio mwisho wenu yani kwa ujanja wakati hakuna maajabu.