KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Ndugu mandhar ya mtoni ulinganishe na Victoria kweli 😂😂
Just check this
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu mandhar ya mtoni ulinganishe na Victoria kweli 😂😂
Mount Meru....Moja ya vitu Vi 3 ambavo mtu yoyote unatakiw ufanye kabla ya kufa kwako ni Kuishi Arusha, Kutembelea Arusha na Kukaa ArushaTakataka hizo mambo Iko huku View attachment 2545271
ManhattanNyerere monument street [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]..
Wapi street za Arusha View attachment 2545278
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Unarudia picha mkuu hii ishatumwa ...ngoja nikupe dozi yakoNdugu mandhar ya mtoni ulinganishe na Victoria kweli [emoji23][emoji23]
Just check this
View attachment 2545282
Hapana kaka ukiachana na ubishi mwanza ni kubwa kumbka ilemela anataka masoko na nyamagana wanataka masoko,, ilemela akitaka stand na nyamagana anataka stand hivo ushindani kat ya Hawa wabunge wawili na mameya ni Kasi sana na lazima wapew miradi maana wanazalisha mapatoNgoja yuonee ama kwa hakika mwendazake aliwapendelea
Hiyo njano ndo BRTHapana kaka ukiachana na ubishi mwanza ni kubwa kumbka ilemela anataka masoko na nyamagana wanataka masoko,, ilemela akitaka stand na nyamagana anataka stand hivo ushindani kat ya Hawa wabunge wawili na mameya ni Kasi sana na lazima wapew miradi maana wanazalisha mapato
Mfano now wametoa ramani ya BRT ambayo July wanaanza kitekeleza
View attachment 2545292
Mkuu Kwa ukubwa upi unaousemea ase Arusha Municipal ni kubwa sana mkuu...nahis izo wilaya zenu 2 zinaingia kwa Arusha Municipal pekee ..Bado Kuna...Hapana kaka ukiachana na ubishi mwanza ni kubwa kumbka ilemela anataka masoko na nyamagana wanataka masoko,, ilemela akitaka stand na nyamagana anataka stand hivo ushindani kat ya Hawa wabunge wawili na mameya ni Kasi sana na lazima wapew miradi maana wanazalisha mapato
Mfano now wametoa ramani ya BRT ambayo July wanaanza kitekeleza
View attachment 2545292
Let madhar kama hayaMbona Unarudia picha mkuu hii ishatumwa ...ngoja nikupe dozi yakoView attachment 2545290View attachment 2545291
Ubishi TU ila ukweli unaujua jaribu google square za Jiji pia ikumbuke wamemaliza kutenga manispaa ya tatu tena hapa mwanzaMkuu Kwa ukubwa upi unaousemea ase Arusha Municipal ni kubwa sana mkuu...nahis izo wilaya zenu 2 zinaingia kwa Arusha Municipal pekee ..Bado Kuna...
Pichaa hii pia ishatumwa ila Wacha nikupe dozi yakoLet madhar kama hayaView attachment 2545294View attachment 2545295
Magufuli Alidili sana na Mwanza na Dom mkuu ..katika vitu ambavo watu hawaelewi ni kuwa Dom Bado ni mkoa mdogo sana hata kwa Iringa pekeeMagufuli hakuwa na upendeleo hakika angejikita mwanza angetuacha Vizuri sana at BRT ingekuwa tayr ila alidili sana DODOMA NA DAR,, Hivi unajua soon dodoma itaizid ARUSHA maana wanataka eneo la UDOM liwe wilaya na Lina Kila kitu
Kwambie TU ingia google ulinganishe ilemela TU nyamagana achana nayo linganisha ilemela na Arusha Municipal ukubwa kilometre square za eneo halafu njoo na majibu mwenyew maana humu tunabisha kusogeza siku huku ukweli uko wazi kabisaMkuu Kwa ukubwa upi unaousemea ase Arusha Municipal ni kubwa sana mkuu...nahis izo wilaya zenu 2 zinaingia kwa Arusha Municipal pekee ..Bado Kuna...
Ni Mfano useme kwa Nigeria Abuja japo na kupewa hadh ya Jiji ila haiwezi kuipita Lagos au Port Harcourt...vile vile kwa Pretoria napo hapawez kupita Jozi ,KZN na Hata Cape townMagufuli hakuwa na upendeleo hakika angejikita mwanza angetuacha Vizuri sana at BRT ingekuwa tayr ila alidili sana DODOMA NA DAR,, Hivi unajua soon dodoma itaizid ARUSHA maana wanataka eneo la UDOM liwe wilaya na Lina Kila kitu
Mm nmekuepo Dom miaka miwili nilipotoka Arusha hivo Dom kaka naijua ilipewa promo sana na Dom na mbeya mbeya wanaobisha tyu ila washapitwa mbali mno pia Dom wanalami ad ambako ni pori hamna watu yaan nishawah tembea nilijua njia nafika sehemu miti imelalia Barabara kabisa pori lakin lami ishagawekwa TU inasubili watu wataifikiaMagufuli Alidili sana na Mwanza na Dom mkuu ..katika vitu ambavo watu hawaelewi ni kuwa Dom Bado ni mkoa mdogo sana hata kwa Iringa pekee
Sawa ata Dom haiwez kuipita dar, mfano marekani Jiji la Los angel ni zuri haswa lakin haliipiti new York ila chukuen tahadhar labda mama asitilie mkazo sana DODOMANi Mfano useme kwa Nigeria Abuja japo na kupewa hadh ya Jiji ila haiwezi kuipita Lagos au Port Harcourt...vile vile kwa Pretoria napo hapawez kupita Jozi ,KZN na Hata Cape town
Mkuu kuwepo sio shida ...ila angalia tangu Magu afe spidi ya mkoa huo imepungua mno ..na watu wanatoka huko wanasema hamna biashara kabisa...kuhusu lami sijui kwa tanzNia kama Kuna mkoa wa kuzidi K'njaro kwa bara bara za lami ..asee K'njaro asilimia kubwa ya ule mji uko na lamiMm nmekuepo Dom miaka miwili nilipotoka Arusha hivo Dom kaka naijua ilipewa promo sana na Dom na mbeya mbeya wanaobisha tyu ila washapitwa mbali mno pia Dom wanalami ad ambako ni pori hamna watu yaan nishawah tembea nilijua njia nafika sehemu miti imelalia Barabara kabisa pori lakin lami ishagawekwa TU inasubili watu wataifikia
Pichaa hii pia ishatumwa ila Wacha nikupe dozi yakoView attachment 2545304View attachment 2545305
Too much expression hatuitaki hapa .m[emoji116]Magufuli Alidili sana na Mwanza na Dom mkuu ..katika vitu ambavo watu hawaelewi ni kuwa Dom Bado ni mkoa mdogo sana hata kwa Iringa pekee
Yani hata hatilie mkazo mkuu ..ujue dodom Ina hali ya ujangwa sana ...sasa nani atakaa kwenye ardhi ambayo ..hata kwa kilimo tu ni shidaSawa ata Dom haiwez kuipita dar, mfano marekani Jiji la Los angel ni zuri haswa lakin haliipiti new York ila chukuen tahadhar labda mama asitilie mkazo sana DODOMA