Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Kote huko kuna nyumba za tembe?Wewe utakuwa huijui arusha nimekaa arusha zaidi ya miaka mitatu hapo Washington ndio ilikuwa sehemu yakupata supu na msos nikitoka billys we pimbi.
Hiyo sakina ya white rose nimekaa, barabara mpya pale kibo kama unaenda morombo nimekaa mianzini karubu na soko nimekaa, njiro karibu na uhasibu nimekaa hiyo mitaa yenue afadhali ni njiro
Nyumba za tembe arusha zimetapakaa kila kona na ukitembea nje kidogo tu ushatoka nje ya mjiNa Kote huko kuna nyumba za tembe?
Acha uongo wewe. Unapata faida gani kusema uongo? Kote ulikokaa kuna nyumba za tembe? Miaka gani hiyo? Labda miaka ya early 90s. Hata Ngaramtoni na Kisongo hakuna tena nyumba za tembe, let alone ndani ya jiji.Nyumba za tembe arusha zimetapakaa kila kona na ukitembea nje kidogo tu ushatoka nje ya mji
Kabisa wamezingua sana kijengo 1f, upuuzi mtupuHii wangepiga 5f alafu wakaweka li mnara la kuoneka kama la mita 20 hivi ingekuwa unyama otherwise hillo jengo ni ujinga tu.
Serikali yetu hovyo sana,viongozi yalishakalili kitu kizuri ni DsmMwanza ni sehemu ya kuzoa kura tu, jiji halina dual carriage hii inauma sana, miradi mizuri ni Dar na Dodoma
Habari ya lini hii?Mwanza inaupiga mwingi!
Dual carriage ya mbeya?Kitu gani hiyo?
Sehemu kubwa ya road works zimesimama kupisha mvua isipokuwa sehemu chache ambazo alianza kiangazi kama kule Ifisi.Dual carriage ya mbeya?
Mama anawakumbuka,yule mtu wenu aliishia kujenga kadaraja na Sgr tuuMwanza inaupiga mwingi!
Mara ya mwisho kwenda arusha mwaka jana hizo nyumba za tembe bado zipoAcha uongo wewe. Unapata faida gani kusema uongo? Kote ulikokaa kuna nyumba za tembe? Miaka gani hiyo? Labda miaka ya early 90s. Hata Ngaramtoni na Kisongo hakuna tena nyumba za tembe, let alone ndani ya jiji.
Jengo la library ya mkoaKitu gani hiyo?
Watu wa chuga hawapendi kusikia ukweli huu, asante sana ndugu brotherNyumba za tembe arusha zimetapakaa kila kona na ukitembea nje kidogo tu ushatoka nje ya mji
Jengo kama ilo wangepeleka huko Simiyu.Kabisa wamezingua sana kijengo 1f, upuuzi mtupu
Acha tupambane na hali zetu.Serikali yetu hovyo sana,viongozi yalishakalili kitu kizuri ni Dsm
2km from Arusha CBD in 2023 when i was there😂😂😂😂😂Acha uongo wewe. Unapata faida gani kusema uongo? Kote ulikokaa kuna nyumba za tembe? Miaka gani hiyo? Labda miaka ya early 90s. Hata Ngaramtoni na Kisongo hakuna tena nyumba za tembe, let alone ndani ya jiji.
Kila siku kuna matamko mengi kuhusu ujenzi lakini utekelezaji hakuna, hii serikali ina agenda gani na huu uwanja na Mwanza kwa ujumla?Embu tuendelee kuomboleza msiba wa mzee wetu Mwinyi hili la uwanja wa ndege bado ni kiini macho tu kutoka uwanja wa ndege wa Kimataifa mpaka uwanja wenye hadhi ya Mji wa Mwanza nalo ni pigo wala haina impact kubwa kulinganisha na uwanja wa kimataifa.
Daaaah hatari sana2km from Arusha CBD in 2023 when i was there😂😂😂😂😂
View attachment 2921149