Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Na sio lazima uwe written what will you basically do aiseeHivi vitoto vinakuja humu havijui
Watu kwanza wamepambanaje hii JF isifungwe
Yaani takataka sana aisee na nlkua namwelekeza taratibu sana
Hii nchi vijana wanawaza kugongana simba yanga kufungua kiduka cha dawa au nguo
Kuwa winga kariakoo
Nchi ina vijana wengi wapumbavu sana
Kugongana sawa mpira sawa naupenda sana
What are you doing for your country as a part of history what will you do basically to be written
Kwanini ?Sativa angeondoka nchini.....aende uhamishoni.....
Umeshawahi kuiba halafu ukahisi watu wanajua wewe ni mwizi??Naona kama dogo ana wenge hivi,mpaka picha anapost hovyo,kinachofata ni jamaa kuja hadaharani kushitaki anadhalilishwa bila ushahidi wa msingi.sijui ana hela za kumlipa au atachangiwa tena!!!!
Kama kuna wanasheria karibu yake wamshauri kitu.
Huyu ashakufa
Amekuja kuleta ushahidi kuondoa haya mambo ya kishamba ccm wanafanya
Ogopa sana dead soul on a living body
Na bado sana acha aongee yote
Hii nchi tukipata vijana kumi kama huyu basi tumekomboka
Ila vijana wengi ndio kama. Wewe sasa
mi nilidhani amekimbia nchi, nawashauri watu wanaopost ukweli kama huo wakimbie nchi wakapostine nje ya nchi. sio salama sana kwao.mimi sio mchawi ila wiki haipiti sativa atakamatwa na kama mzaha jela ataenda,anachotakiwa kufanya mpaka sasa ni kukazana kupost tu picha,ashinikize zaidi watu kumchimba mkwara binti na wanafamilia wengine.
Tena mlalamikaji hatakuwa mafwele mwenyewe.
Ndio iko hivyp dunianii......kwa usalama wale na maisha endelevu....Kwanini ?
Kwa jinsi ulivyoandika unaonekana bado mtoto tu hakuna kitu.Mtu mzima hawezi kuomba msaada wa mwingine kupata ukombozi katika jambo lolote.Wewe tu ni bwana mdogo umejitahidi sana utakuwa umemaliza chuo unasubiri tu kuajiriwa basi.We mzee unanijua.?
Au unaona jina baba swalehe unaona aaah hawa watu tuko sawa tu humu
Pseudonames za humu zinakudanganya sana sio
So far hujajibu hoja yangu
Nliyofanya kwa ajili ya hii nchi wewe na kizazi chako na cha babu yako. Mzaa babu yako wajukuu zako na watoto wa wajukuu zako hawatokuja kufanya
Ukiona sehemu pameandika alphasat put a name and respect to baba swalehe
May be anaweza omba political aslyum Marekani au Canada au Nchi za Ulayami nilidhani amekimbia nchi, nawashauri watu wanaopost ukweli kama huo wakimbie nchi wakapostine nje ya nchi. sio salama sana kwao.
mimi ninachomshauri dogo aendelee kupost,ili tuone kama ni rahisi ama ngumu sana kushitakiwa.Umeshawahi kuiba halafu ukahisi watu wanajua wewe ni mwizi??
Hizo nguvu anatoa wapi?? Acha kabisa sio rahisi kama unavyodhani