Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Mungu ametenda kwa jamaa. Angeshaliwa na fisi muda mrefu pale Katavi National ParkKapona kwa bahati kubwa kama Donald Trump.
Execution / kumaliza uhai kwa hii staili ya kupiga watu kisogoni risasi nia ni kuua lakini Mungu mkubwa
Waliopachikwa jina wasiojulikana lakini wanaofahamika na Polisi ndiyo hawa.