Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Anaweza asiguswe anakodhani,watu wakatumia sheria.tamaa ataiunga vyema kabisa na umakini utamkaa sawa.
Mafwele hawezi kuthubutu hata kidogo kumshitaki sativa, hawezi. Nje ya mada - mbona kama hiyo sura ya mafwele na umbo lake anaendana na yule jamaa aliemtoleaga Nape mashine kipindi kile Cha jiwe???
 
Mafwele hawezi kuthubutu hata kidogo kumshitaki sativa, hawezi. Nje ya mada - mbona kama hiyo sura ya mafwele na umbo lake anaendana na yule jamaa aliemtoleaga Nape mashine kipindi kile Cha jiwe???
Hapana dogo anatakiwa akazane kumpost soon utasikia kafatwa kukamatwa kwa matumizi ya mabaya ya mtandao.

Aliyetoa bastola kwa nape mpaka leo hafahamiki ni nani,labda tumuulize kitenge alimuona vyema.
 
Naona kama dogo ana wenge hivi,mpaka picha anapost hovyo,kinachofata ni jamaa kuja hadaharani kushitaki anadhalilishwa bila ushahidi wa msingi.sijui ana hela za kumlipa au atachangiwa tena!!!!

Kama kuna wanasheria karibu yake wamshauri kitu.
Mwambie Faustine Mafwele aende kesho Mahakamani akadai kuchafuliwa, I bet hawezi kufanya hivyo hata ukimshikia bastola. Mafwele is behind these insane kidnappings and killings
 
Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.

Maneno mingi kazi kidogo

Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.

Wadiz
Matisho ya kipuuzi. Yaani akae kimya kwamba mlicho mfanyia ni sawa? Kama ni kufa, alisha kufa. Msilete ujinga wenu hapa.
Kwamba nyie wauaji mta isha milele? Shenzi kabisa.
 
Sijui kwanini watu waoga huwa wanakasirika kuwaona wenye ujasiri wakidai haki zao...
Wewe kama mwoga, tulia acha afanye anachofanya maana ogopa mtu ambaye hata risasi alipigwa lakini bado haogopi kusema.
Kama wewe unaogopa, unakaa pembeni tu huna haja ya kuleta maneno mengi.
 
Back
Top Bottom